JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Serikali ingepunguza bei ya bia kupandisha bei za vipodozi. Kwanza bia zinafanya watu waone wanawake wote ni wazuri... Vipodozi vina sumu kali yenye kuua haraka ngozi, maini, figo, macho na akili...
0 Reactions
6 Replies
849 Views
Mzee Madiba Rais mstaafu wa Afrika kusini Mwana wa Afrika kipenzi cha wengi duniani imethibitika hayuko HAI mkoani kilimanjaro bali yuko kliniki moja Afrikakusini akiendelea kupata matibabu
0 Reactions
1 Replies
2K Views
nimepita tu niwape hi, kishaa huyoooo narudi kwangu niendelee kuphotoshop na kucode....
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Napita tu.....
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaam, baada ya kukurupushwa na kiwatengu wakati natega ndoano ya kuvunja ndoa ya mimisa na Mwanathropolojia naomba kujitokeza kumzoa mwanamke yeyote ambae hajielewielewi au hajitambui ili...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Hivi ingekuwaje maisha unayoishi sasa ukakuta ni ndoto.Ile unashtuka unajikuta upo darasani,tena darasa la pili mwalimu anafundisha somo la mwandko na ww kwa aibu na uchovu umejiinamia unaangalia...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
WANAUME jitahidini kidoogo kuwa Romantic lasivyo hali itakuwa mbaya kwenu..Ulivyokuwa unamtokea mdada wa watu ulimjali..kila saa message...Umeku la..twende lunch..I love you za kumwaga kama...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
habari za mchana wana cc wote Awali ya yote napenda kuchukua nafasi hii kuwasabahi nyote mliopo hapa CC Nimefurahi kujua kuwa mnaendelea vyema katika shughuli, kazi, masomo na mamabo mengine...
6 Reactions
77 Replies
4K Views
Kuuliza sio ujinga, nina mrefu humu jf bt leo nimeona niulize! What is chit-chat forum all about?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
KDDDA Company Box 100 Musoma APLICATION OF JOB I am aply to my job of security guard to you boss in you company of KDDDA. I am complete to Standadi 7 examination certificate in 1997. My...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Marafiki wawili walienda interview bt kwa sababu mmoja wao alikuwa chizi na huyo mwingine alikuwa mwerevu, waka agree mwerevu kwanza aingie alafu akitoka apee chizi leakage (majibu) kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimechoka kuwa singo. Passion Lady, Paloma Mwali, Madame B, Chocs marejesho na Mamndenyi andaeni kamati ya send-off. watu8 na measkron namtuma mshenga wangu Kaizer awaleteeni mahari...
17 Reactions
484 Replies
18K Views
Habari zenu banduguuuuuu wakubwa shikamooni wazee wenzangu mambo vp wadada woteeee nawapendaaaaaa
0 Reactions
7 Replies
728 Views
Mtu anakupigia simu usiku wa manane anakuuliza 'umelala' unamjibu sijalala npo nje naota jua.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
On the outskirts of town, there was a big old pecan tree by the cemetery fence. One day two boys filled up a bucketful of nuts and sat down by the tree, out of sight, and began dividing the nuts...
0 Reactions
0 Replies
806 Views
Naomba kufahamishwa majina yote kamili ya waziri mkuu wa mwanzo wa serikali ya awamu ya nne aliyejiuzuru mh Edward Lowasa.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani leo jioni kutakuwa na show ya tv ya mabox,nimeshajenga Kibanda,kibatari ninacho,mje na mafuta ya taa wana CC, ndio kiingilio,nimeshachonga vikatuni vingi sana,tutaangalia show mbali...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Najiuliza sana kama Marekani hakuna COSOTA maana nyimbo zao zina matusi sana
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Aisee sijui hata nisemeje,anyway natumai hamjambo ndugu zangu. kichwa cha habari hapo juu chahusika. ni hivi wakubwa,mimi nilikua sijui kumbe maza na mdingi ni mamember humu,tena hasa chit chat...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
kwa kweli ktk watangazaji wa hapa bongo hakuna anayemfikia huyu jamaa kwa uchambuzi wa miziki ya zamani iwe ya tz,europe,carribean na congo! mpaka ya 50's!na jamaa anakuwa na data za kutosha juu...
7 Reactions
30 Replies
14K Views
Back
Top Bottom