JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Taarifa iliyovuja toka Top Cuf Officers! Wanamwombea Rais wa Muungano awe Lowassa na si mwingine.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
kwa wale walio soma Kiluvya secondary tukutane hapa ili kujuzana yale yaliyo wahi kutokea enzi upo Kiluvya secondary na ni kitu gani ambacho unakikumbuka kutoka KVSS na mwaka ambao ulisoma hapo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau, Yaani nimepata mtoto mmojaa wa kachanganya damu . Ni mzuri balaa halafu papuchii ni mnato kwelli. Tatizo huyu mchepuko wangu anapenda kula ugali wa dona hata sahani tatu.Imagine juzi...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Sera ya mapenzi kwa vipindi tofauti MIAKA YA 1986--1990 hapa utaambiwa ...Nimekubali ila usimwambie mtu MIAKA YA 1991--1995 Hapa utaambiwa nimekubali ila namwogopa baba na mama watajua ...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
1.) Diamond platnumz - ngololo 2.) Samir - Kinyulinyuli 3.) Dogo asly - Ya moto 4.) Chege 5.) Juma nature 6.) Afande sele 7.) Suma G 8.) ...., ongezea..
0 Reactions
39 Replies
9K Views
Ujue kuna ID nyingine ukiziangalia unajisikia kucheka unaweza kujiuliza huyo mwenye ID alikosa ID wakati wa kuchagua au Mimi kuna ID tatu zinazo ni staajabisha nazo ni kakajambazi , kakajambaz JR...
1 Reactions
27 Replies
4K Views
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA TAARIFA KWA UMMA TAHADHARI DHIDI YA UHALIFU UNAOFANYWA KUTUMIA SIMU ZA MKONONI Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kwa kuzingatia kifungu 5 (b) na (e) cha...
1 Reactions
3 Replies
955 Views
Yule mtaalamu wa Enzi zile aloimba "Ni thithi baba dhao, pia mama dhao tulio hapa" ametoka na kitu kingine kipya na cha viwango. Anasema Kinyongo Kihuja, nicho chela mbeu" Wewe sikiliza mwenyewe...
0 Reactions
11 Replies
12K Views
Mamboz wana cc......... mmh ngoja niwaambie yalonikuta maana nimejikuta nakutana Live na member mwenzangu bila kutarajia mie ni mtu wa JF sana hata ofisini huwa wananiita mama wa JF sasa jana...
7 Reactions
75 Replies
6K Views
kwa taarifa zaidi tune ITV
0 Reactions
19 Replies
4K Views
teh teh teh. Acha kudanganya watu kua wewe matawi ya juuuuu. Acha kututongoza mabinti kwa njia ya kua utatuoa imepitwa na wakati. Acha kuazima usafiri kwa ajili ya kujipaisha.
1 Reactions
356 Replies
21K Views
Kwa wale wapenzi wote kuna ofa ya kwenda kukwea mlima Kilimanjaro kwa wale watakaobahatika kwenda ajitahidini mpande mpaka kileleni ni sifa na raha mno kufika kule juu kabisa si kila mmoja...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Kwetu sisi watoto wa wakulima tukisema, tunaambiwa tunatafuta umaarufu. Lakini kwa Familia Bora, ya Mboga saba, ambao ndio watakaoongoza tangaznia hati Yesu Arudi, Familia ya Yusuf Makamba na...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Wakuu, Kama kuna mtu umepotezana naye na huna njia yoyote ya mawasiliano,hebu mtaje jina,kama yupo JF labda ukimtaja kwa jina halisi anaweza akaku-PM,pia unapomtaja jina inasaidia wengine...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
natafta rafki mkiristo ambae ni jinsia yoyote kwa ajir ya kukumbushana neno la mungu
0 Reactions
60 Replies
3K Views
Haha ha ha...mimi sisemi kitu nataka wewe mwenyewe ujionee hii picha afu useme kitu.
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Nilidhani ID yangu ndio yakipee sana JF Tapaiko Namkeho kumbe nilikuwa nakosea kuna huyu mwamba III II II II II, hebu jaribuni kulitamka halafu mtuandikie hapa. Kwangu mimi hii ndiyo ID ya ajabu...
1 Reactions
7 Replies
615 Views
Upo zako mgahawani, utasikia kauli hizi zenye utata mtupu: Mhudumu: Vipi umeshawashughulikia wateja?" Wateja: Aah! Sema kuhudumiwa, siyo kushughulikiwa. Mhudumu: Karibu Masta, za mzunguko...
2 Reactions
4 Replies
480 Views
Kama umetembelea kidogo mikoa mbalimbali utagundua hili Makambako kubwa kuliko Njombe Kaliua kubwa kuliko Tabora Mafinga kubwa kuliko Iringa Kahama kubwa kuliko Shinyanga Tunduma kubwa kuliko...
2 Reactions
65 Replies
4K Views
Nikiripoti kutoka hapa Mjini Rabat nchini Morocco ni Mimi GENTAMYCINE wa JamiiForums.
1 Reactions
10 Replies
933 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…