JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nikiwa kama mratibu wa shindano la kusaka ni couple ipi bora na mfano wakuigwa naomba kutangaza rasmi walioshinda.! Hapakuwa na katiba ilonizuia kushiriki shindano kwa kuwa ni Mratibu hivyo na...
33 Reactions
716 Replies
34K Views
Kwanini sisi matajiri tunafanana saana Ukiona mimi utakuwa kama umeona Bill gate Ukiona Alon mask Utakuwa Kama umeona Mimi Yaani sura zetu zinafanana saana matajiri wote sura zetu zinafanana
1 Reactions
10 Replies
437 Views
Ninachukizwa na nawachukia watu wote wanaotumia tecno,infinix na itel yaani kwangu mie nawaona ni wahujumu uchumi wa nchi yetu yaani inakuaje mtu anatumia au watu wanatumia tecno,infinix au...
2 Reactions
36 Replies
2K Views
Wanaume wembamba kweli tunakazi yaani kutafta mpenzi huku unakamwili cha ukondefu utasota sanaa balaa nipale ukute unauwembamba wakurithi yaan unapiga mayai maziwa kiti moto lakin wapiii (dahh)...
6 Reactions
32 Replies
2K Views
Uvivu na Kupenda kula Bata unawaponza. Mliitaka iwe Alhamisi ya leo ili Siku za Kula Bata ziwe Nne ( Alhamisi, Ijumaa, Jumamosi na Jumapili ) Mlivyoona Kimahesabu kula Eid Alhamisi ( yaani Leo )...
5 Reactions
22 Replies
2K Views
EID Mubarak Waislam wote popote mlipo. Ikawa sikukuu njema yenye amani, furaha na mafanikio ya kumpendeza Mungu.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wherever there is interaction, attraction is bound to happen. Kuna watu humu wamepata flings, spouses, wengine got married and some ended up being catfished. All is life. So lets say someone...
43 Reactions
2K Replies
54K Views
Kama kawa, Kama dawa
5 Reactions
154 Replies
6K Views
Wakuu, kufulia kusikie tu kwa jirani aisee. Hapa nilipo nimefulia kiasi kwamba nimebaki na elfu 4 tu iko kwenye m-pesa. Sasa nataka kwenda kwa wakala kuitoa lakini naona aibu wakuu.
14 Reactions
94 Replies
3K Views
90% ni ukweli๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
3 Reactions
4 Replies
354 Views
Mi naanza na IDD yetu, kivyetuvyetu
1 Reactions
14 Replies
846 Views
Hellow Africans, Mimi siyo mchoyo bhana, leo nataka nimtoe mtu out yeyote twende Wavuvi Kemp pale tukanyweee mpaka uchoke wewe. Muhimu uwe na vibe, usiwe mpolee kama msabato no, pale ni kwenda...
16 Reactions
77 Replies
4K Views
Herode Farao Pilato Nebucadreza Etc... Ongezea na wewe majina ambayo watu hawapendi kuwaita watoto wao........ Wasalaam ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
8 Reactions
168 Replies
5K Views
Hamjambo vijana, Mimi kama mimi ningefanya hivi; Ningebadili duni yangu kuwa pepo yangu, ningefanya kila niwezalo kupata nivitamanivyoo kufurahisha nafsi yangu. Kwako Johnnie Walker na...
1 Reactions
11 Replies
796 Views
Guys huyu last born kanishinda jamani, Mwanaume muda wote my momy my dady Jamani nime mchoka natamani kumuacha
13 Reactions
115 Replies
5K Views
Wakuu, Kwanza nilishtuka, na kisha nikajitafakari kidogo then nikaona nikinyamaza itakuwa njema. Nimuite dada, mama, binti ambae ni mwenyeji wa kitambo mbali hapa kwetu. Ghafla bila hiyana...
0 Reactions
14 Replies
937 Views
Mwaka jana mwezi wa nane baba aliniita nyumbani akaniomba nimununulie chupa kwaajili ya kuwekea chai (japo ilikuwepo). Pia akaniomba kabla ya kuondoka nimununulie redio, alifurahi sana kufanya...
6 Reactions
39 Replies
1K Views
Hongera sana sana wachaga..matusi mmekomesha watu wamekaa mkao Kilimanjaro. Hii ingetakiwa iwe kila mkoa ingependeza sana.
0 Reactions
1 Replies
463 Views
Jana nilikuwa Mikocheni Shoppaz Plaza nafanya shopping kama ya elfu 60 na hivi, sasa vitu vyangu vilikuwa vingi kidogo na wakati naenda kulipia nyuma yangu kulikuwa na Mzungu ambae alikuwa...
4 Reactions
23 Replies
1K Views
Muombe hela tu mwanaume akikutongoza wewe umtaki muombe hela tu akikutumia uyo kweli anakupenda nakuganda ๐Ÿค—๐Ÿค—๐Ÿค— napenda pesa jaman ukija kwangu unatakiwa uwe mvumilivu na kibunda pia
9 Reactions
75 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ