JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ninayo picha yake na nilitamani niipakie hapa lakini kwa bahati mbaya sikupata idhini yake. Alikuwa na rangi ya Maji ya kunde hivi, Mzuri wa sura (ya duara) na macho makubwa meupe ya mviringo...
5 Reactions
26 Replies
1K Views
Wakuu amani iwe nanyi. Naombeni mnitajie zile threads~story za umughaka
1 Reactions
5 Replies
5K Views
25. Get Your Tongue Outta My Mouth 'Cause I'm Kissing You Goodbye. 24. Her Teeth Was Stained, But Her Heart Were Pure. 23. How Can I Miss You If You Won't Go Away? 22. I Don't Know...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ikifika saa 5 wote tuwe tumeshalogout, maana hali ya hewa inaruhusu kwa kifo(kilimo) cha mende (maharage) supu ya mbuzi kagoma kwenda na kilimo cha kuchuma tembele.
5 Reactions
36 Replies
838 Views
Karibu useme ukweli wowote usiosemwa au mwambie mtu yoyote ukwel kumhusu Naanza Mimi Tanzania upinzania Bado hawajajipanga kupokea nchi, wakubwa wengi machawa wa chama tawala. Tuendelee kuiamin...
9 Reactions
72 Replies
2K Views
Kesho kutakuwa na hasara ya magazeti kununuliwa pamoja na vipindi vya michezo maana nchi ina majonzi, ni MBUMBUMBU pekee ndio wenye furaha.
0 Reactions
16 Replies
854 Views
Dah hizi radi za hapa Dar this week zitatumaliza soon nime ghail kwenda taifa kisa radi af nguo nyekundu na radi si hazipatani kabisa?
10 Reactions
82 Replies
2K Views
Tuliopo kwenye ndoa! Je una lolote la kumwambia mama mkwe kuhusu mtoto wake?
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Hellow African Kuna watu humu mmenipa jina la super mario kila nako pita huku naitwa super mario futeni ilo jina wachumba wananikimbia kisa wana mmenipa jina la super mario
2 Reactions
38 Replies
1K Views
Kwa namna moja ama nyingine, kuna baadhi ya mahitaji yanatuwia ugumu kutamka kwa muuzaji mbele ya wateja wengine Ukimuona mteja anakupisha uhudumiwe kwanza wewe, usidhani nia yake ni kukopa...
3 Reactions
28 Replies
1K Views
Suppose someone sends you a lengthy message in capital letters, how will you respond/react to it? Binafsi huwa nachukia sana kuona mtu amenitumia ujumbe kwa herufi kubwa. Yaani hiyo ni sawa sawa...
4 Reactions
25 Replies
970 Views
Mimi huwa nawashangaa sana baadhi ya wanawake yaani unajua kabisa wanaume wana tamaa wana tamani mpaka vichaa cha ajabu mtu una mfumania mumeo unakuja kuhangaika na mwanamke mwezio. Mwanamke...
11 Reactions
118 Replies
4K Views
Hellow african Ivi kwanini sisi malast born tuna anzaga kufa sisi na sio watoto wa kwaza kuzaliwa au wakatikati? Nimewaza sipati jibu
5 Reactions
52 Replies
2K Views
Hizi radi aisee ni balaa. Nmeikaribisha weekend na mtoto mkali ila usiku ukawa mrefu mno kidogo tuache doggy tupige magoti kuanza kusali. Yaani ngoma zinapigia dirishani hadi mashine ikasinyaa...
3 Reactions
20 Replies
723 Views
Moja kwa zote kwenye mada!! Kifo kisikie tu wakuu leo baada ya mvua na radi kubwa na nyingi niko zangu mtaan nimejibanza sehem nikisubili hali ipoe niende na mishe zangu Sasa kilichofatia hapo ni...
4 Reactions
20 Replies
822 Views
Sitaisahau elnino ya mwaka tajwa hapo juu, mvua zilikuwa kubwa sana kule maeneo ya Mbeya bila kujua nikaingia kwenye mtego wa chatu, alinidondosha. Pona yangu sikuamka, na ukilala chali chatu...
67 Reactions
243 Replies
28K Views
Malawi haijawahi kupatwa na majanga makubwa ya kipindipindu na vimbunga ambavyo vinaleta maafa makubwa. Lakini jamaa alivyopelekwa tu kutuwakilisha vikatokea. Sasa ni zamu ya Cuba wamepelekewa...
1 Reactions
2 Replies
291 Views
Wanajamii naombeni mnijuze kazi ya kokote kwenye reli, najiuliza sipati jibu
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Hodi humu japo nimeshaingia tayari, naomba mnipokee Bantu lady hapa. Najiunga nanyi wana chit-chat. Natanguliza shukurani.
5 Reactions
83 Replies
4K Views
Back
Top Bottom