JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wangapi mnawajua hawa jamaaa Hawa ni masalia watatu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
A guy asked a girl in a library; “Do you mind if I sit beside you”? The girl answered with a loud voice; "I DON’T WANT TO SPEND THE NIGHT WITH YOUUU!!!”. All the students in the library...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
kuna wanafunzi wawili walikuwa ni vipanga sana darasani.Siku moja wakati mwalimu anafundisha,wenyewe wakazwa wanapiga story tu bila wasiwsi,mwalimu akwaona,akachukua fimbo akawafata na kuanza...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Special thanks kwa wana JF wa Arusha, nimefurahia kuwepo Arusha though muda ulikua ni mfupi nimeenjoy kuwa part ya JF. Special thanks.: Arushaone Filipo Erickb52 na niliowasiliana nao sweetlady...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Mlokole mwenye guest alikataa yanki mmoja aliyekuja na mama mtu mzima kupata chumba akisisitiza kuwa guest yake hairuhusu uasherati. Yule mama akaja juu na kumwambia Mlokole kuwa yule...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
jamaa amekaa jikoni na mke wake.. Mke katoka kidogo jamaa akadokoa nyama jikoni, kwa bahati mbaya nyama ikamkwama kooni... Katika harakati za kujiokoa ghafla mke akatoke. Mke akamuuliza...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Aaaaah!,nshajua kutofautsha kat ya demu na ndume humu jf 1.mademu hawa2kan direct 2.majina ya mademu n mara nyingi ya kujiproud/mazur c ka ndume.3.harufu ya post za madu ni ya pafyumu c ka ndume...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimeona kupitia TBC - 1 kwenye maazimisho ya siku ya Mapinduzi trh 12.1.2013 mlinzi wa kike wa mke wa Rais wa SMZ Mwanamwema Shein akimfuatilia mama kwa nyuma huku akimwekea mkono kama anamkingia...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Aliye tayari anijulishe Sitaki PM, wekeni mambo hadharani. Vigezo na masharti kuzingatiwa. Madame B, Paloma, charminglady, Nicole, Kaunga, Kipipi, Asnam, Preta, marejesho, Lisa, nivea...
6 Reactions
105 Replies
5K Views
Ole wao serikali inayozuia madanguro. Kwa maana tukiwalia wake zao yasijirudie ya nguza na wanawe.
1 Reactions
8 Replies
2K Views
mlevi na mchungaji walikutana ndani ya daladala, sasa mchungaji hakupendezwa na kitendo cha yula mlev kulewa ndani ya daladala akaamua kumuuliza swali na mazungumzo yao yalikua hivi:mchungaji...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Baba aliona mkwe amepunguza mapenzi kwake, ni baada ya mke wake kujifungua mtoto ,bac akaamua kutafuta sumu ya kumuua mtoto akaamka mapema,akampaka mke wake sumu kwenye maziwa ili mtoto akinyonya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Huyu jogoo nilimkuta tandale kwa tumbo akiwa anaugulia ugonjwa wa chekelea Hahahaaaaa wadada tumesomana naju
0 Reactions
0 Replies
3K Views
ZUZU; Unajuwa zumbukuku dhambi zingekuwa amna sema daaa adam na eva ndio wametuponza ZUMBUKUKU;kwann leo umewaza hivyo?? ZUZU;Adam na Eva wangekuwa wachina,dhambi isinge kuwepo ,kwan wangemla...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Bishanga ndo nshajizeekea jamani,mai waif mama The secretary bishanga choka mbaya, hawara yangu Kongosho ndo kabisa anatembea na dripu,kimada wangu Mamndenyi ndo kakongoroka bi kidude ana...
7 Reactions
140 Replies
7K Views
Unapewa taarifa kuwa mumeo wa ndoa yuko na hawara yake wamekaa garden, ile unafika karibu yao unasikia kimada wake anamwambia "Honey chukua hii laki 7 hizi umpelekee mkeo nyumbani umwambie...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wageni wengine ni noma sana, hebu angalia hapa: Mwenyeji: Karibu mgeni! Sijui utatumia nini, soda au chai? Mgeni: Nitakunywa soda wakati nasubiria chai ichemke!
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Hili jamaa na ukubwa wake, lilichukua kibano kutoka kwa Kabinti kadogo kenye Mkanda Mweusi, dahh hadi anatia huruma. Alibaki tu akifoka " I will kick your a$$." Hapo alishawekwa chini kama...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Siku moja baba alimwaga mkewe anaenda safari kikazi ambaya ingemchuwa miezi 6 nje ya mkoa, sasa wakati mkewe anamsindikiza ilikuwa hv: Mke: Mme wangu ntakumisi kweli ila sina namna jinsi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nadhani wataalamu wa Kiswahili watusaidie katika hili kwani si kiswahili fasaha mf, NAKALIA: Chang'ombe,Kigogo,Upanga nk
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom