Ndugu wana Jf hasa wana Chit-Chat , tuweni na mpangilio wa kuanzisha thread, na sio tu ukijisikia kuanzisha thread basi unaanzisha na matokeo yake tunakuta hata baadhi ya thread hukosa...
Habari wana Jf
Nimekuwa nikifuatilia matukio mbali mbali ya wabongo walivyo na akili lakini hawatumii akili ya kwa maendeleo bali kwa kuharibu au kurudisha maendeleo nyuma.
Nakumbuka kulikuwa na...
siku moja mwalimu wa sayansi aliingi darasani kwa akinana kizibo,kizibo alikuwa na swali la mtego kwa mwalimu wake,mambo yalikuwa hivi:
Kizibo.Eti mwalimu,hivi ukichanganya sabuni ya OMO na FOMA...
Wadau habari zenyu binafsi!!!!!!!
nami leo nimemuota Madame B.... Ati tulikuwa mahali tunamteta lara 1 tukiulizana kwanini hajainekana kwenye "Kumbukumbuku ya marehemu Regia" Ndiposa tukapata...
Jamaa mmoja mkazi wa lamu amempa mkewe taraka 3 baada ya kukasirishwa na maneno yaliyoandikwa kwenye kanga aliyovaa mkewe.
Jamaa ambaye alisafiri kwa muda wa miezi 2,alishtushwa aliporudi na...
Sheria ya usingizi ya mwaka 2012 ibara ya 2, inasema;- "ndoto ni haki ya msingi ya kila asinziaye" kifungu cha 3 (c) cha sheria hiyo kinampa haki mtu yeyote kulala na kuota ndoto na kutakiwa au...
Wandugu wana JF na marafiki wote wa JF, napenda kuwapa habari njema kuwa nimepata Mtoto wa Kiume kwa mkewangu mpenzi. Nimempa jina "NSALA" kwa wale Wasukuma wekeni maana hapo kwenye Bold....
Nikivaa boxer kifaa yangu haikai vizuri. inawezekana sijajua zinavyotumika? Mi napiga boxer na trousers tu. naomba ushauri wa matumizi sahihi ya boxer pant.
Baada ya kusotea ajira kwa takriban mwaka mzima, hatimaye jana nimeitwa na kusaini mkataba na kampuni hii iliyojikita hapa nchini kwa miaka kadhaa sasa. Kuanzia sasa nitakuwa ni mmoja wa waajiriwa...
"Wahaya bwana...... Kujisifiaa imepitiliza.... Leo nimesikia hii kwenye matangazo ya vifo.....!NDUGU DUES RWEYEMAMU WA MASAKI ANASIKITA KUTANGAZA KIFO CHA MWANAE JOSE RWEYEMAMU WA OYSTERBAY...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.