Babe: Hallo..
Sharo: hey swtie are u eyes??
Babe: Nini??
Sharo: are u eyes??
Babe: bwana sikuelewi, unasemaje?
Sharo: nasema hivi are u eyes??
Babe: naona hauna la maana me nakata simu...
jamaa alikuwa safarini gari likamharibikia kijijini, akaomba hifadhi, akakaribishwa baada ya kuoga na kula MZEE sasa huyu mgen alale wap? MKE saa hizi ni ucku akalale na bebi jamaa akaona huyu...
Tangu nimeijua Jf na kuamua kujiunga nimefaidika na mengi,mojawapo ni kujuwa kwa undani siasa za Tanzania ambazo zamani nilikuwa nazisikia midomoni mwa watu wachache,sasa Jf imeweka kila kitu wazi...
MOSHI=Mungu Onyesha Sehemu Hela Ilipo;
ROMBO=Ruhusu Ongezeko la Mapesa Bila Ombaomba;
HIMO=Hata Ikipungua Mungu Ongeza;
MARANGU=Mungu Angalia Raia na Ngawira Utuhakikishie;
MAMBA=Mungu Ahidi...
.... member wa jf tubadilike sasa.
humu ndani kumekua na tabia sikuhizi ya baadhi member kutofikiri.
inapotolewa mada mara nyingi huishia kwenye marumbano, matusi na kejeli. uhuru wa kutoa maoni...
Mwanadada mmoja mrembo alienda mjini kufanya shopping,akapita mahali flani akaona muuzaji mmoja anauza kasuku elfu 25....akaamua kuulizia:
Dem:"Mambo."
Muuzaji:"Poa sista...nikusaidie nini?"...
Wanajukwaa legwa nawakubali Wandugu ktk harakati ya hapa na pale hp jukwaani!
Mi ni mgeni lakini ninafuraha kuwa nanyi pale mtakapo nikubali kwani nimekuwa naperuz kitambo na mpaka sasa nimeamua...
Naamini imetoka mbali sanaa.pamoja na changamoto zinazoisonga lakini bado ni imara na inazidi kupata wageni wapya kila siku,mwanzo kabisa mie nilikuwa naingia kwa beep hatimae nimepiga kabisa...
Ole wao serikali wanaozuia madanguro kwa maana wateja wataamia kwa wake za hao wanaozuia uwepo wa mdanguro . Wito wangu ni kuwa yale mambo ya nguza na wanawe yasijirudie. Amiin
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.