Hope u mzima wa Afya huko uliko!
Najua wapo wengi wanaokumiss Amyner ila nahisi mi nimekumiss zaidi yao!
Nimekuwa mpweke nikifarijiwa na kaka zangu Asprin Kaizer na Bishanga na wapenzi wao akina...
Yan nlivyo na mapesa kibao hata billgate namuona ka ---- mmoja hv xa nataka mntajie nmchukue demu celebrity wa bongo mkalii,nimchukue na uktamtaja 2,nakuchapa vocha ya 50,0000 ila halahala mcniloge
Baada ya kuvumilia sana hatimae uvumilivu umenishinda.. Nime-fall sana binti mmoja humu japo najua kuna vidume vinavyojifanya kujua kuwahi.. Niko radhi kumlipa yule ambae atakua nae huyu binti ili...
Chupi za Bikin bwana!!!. zamani ilikuwa unafunua chupi uone ta.ko... siku hizi mambo ya bikini, inabidi ufunue ta.ko... ili uone chupi. Mendeleo na vimbwanga vyake
Nimeikuta hii wavuti.com
TANGAZO! kwa wasio na VING'AMUZI majumbani mwao!
Tunaonyesha vipindi vifuatavyo na gharama zake kama ifuatavyo:
1- Taarifa ya Habari Tshs 250/=
2- Tamthilia ya...
Kuwa muwazi tu,funguka,twambie usiku wa kuamkia leo umeota nini?
Bishanga nimeota gfsonwin ananitongoza,nikamtolea nje kudadadeki,chezeiya bishanga mi natoka na wanawake wa kitasha tu.
Jamaa akiwa amebeba jeneza kuutoa nje mwili wa Marehemu huku watu wote wakiwa wametawaliwa na ukimya wa majonzi ghafla simu yake ikaita kwa kawimbo "kimasomaso mwanangu...
A priest is walking down the street one day when he notices our Little Johnny trying to press a doorbell on a house across the street. However, Little Johnny is very small and the doorbell is...
Mwaka 2013 Nokia wameboresha lugha ya KIHAYA KWENYE SIMU,ukitaka kumuwezesha Mzee ili aitumie simu bila taabu unabadilisha hivi kaa sawa!
1. PHONE BOOK EKITABO KYE SIMU
2. Names ...
tangu nimejiunga na chitchat naona kila mtu ana mke/mume wake,so natangaza nia nimechoka kuishi pekeyangu,kwahiyo natangaza nia alie tayari kuishi na vampire aliejizeekea(cow hazeeki maini)...
Poleni na Majukumu ya ujenzi wa Taifa wakuu
Nimeskia katika kipindi cha Heka heka cha clouds FM kuwa kuna kijana mwenye umri wa Miaka 18 mwanafunzi wa kidato cha sita alikuwa na rafiki yake wa...
jamaa mmoja alitupia k2 cha Chuga , eti juu ya mti. bahati mbaya c akadondosha njiti ya kiberiti akaitazama akaZOOM, akaona ipo karibu saizi ya kuinama tuu, si akainama aokote, kilichotokea mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.