JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Koti la babu lina chawa wengi__________.
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Mimi mgeni humu sijui kinacho endelea... tafathali msaada kwenye tuta..
0 Reactions
0 Replies
973 Views
Zungumza na watu wengi waliofanikiwa ndani na nje ya Tanzania, watakwambia kwamba mojawapo ya siri za kufanikiwa katika maisha ni kuwa na mikakati kwa vitendo; Ndiyo kusema kwamba kama hukuwa na...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
mimi nilionana na hawa....... nikapumzika hapa.......... wewe ulifanyaje.....?....weka picha.........
2 Reactions
56 Replies
4K Views
Ingawa tumezoea utani wa jukwaa hili, habari hii ni ya kweli kabisa kuwa mwenzetu anaumwa hajiwezi. Tarehe 28:12:2012, alizidiwa kiasi cha kukata kauli. Waume na wake tumuombeeni kwani hajiwezi...
2 Reactions
60 Replies
4K Views
Hii kitu imenitokea mimi na ni ukweli 100%, nafahamu kuwa kwa wengi itakuwa ngumu kuamini,ila take it from me,haya mambo yapo. Ni hivi.Historia yangu ya masuala ya kitaaluma ni kuwa Tangu...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
naona MMU sasa ni msimu wa hadithi. Ulikuwepo msimu wa kutafuta walosoma Lyabukande sec mara nini? Ni kwamba nyuzi zimekwishaaa ama? Anyway. . .
2 Reactions
33 Replies
3K Views
Wadau ndiyo nimeingia leo JF tangu Friday, je thread gani leo inawika?
2 Reactions
22 Replies
2K Views
A c o o l f l k i n d d g o o d l i d f g r e a t f u l l s ex y n w s h u m b l e g o d f e a r i n g h a h y p e r l o g i c s o c i a l g k s h y lo y a l f r i e n d l y d o un d e r s t a n d...
0 Reactions
9 Replies
878 Views
1. Aifola - Linex 2. Dear God - Kala Jeremiah 3. Me & You - Ommy Dimpoz ft Vanessa 4. Mapito - Mwasiti ft Ally Nipishe 5. Nashukuru umerudi - Recho 6. Leka dutigite - Kigoma All Stars 7...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
Thanks a lot jamii forums kwa burudani mnayotupa, mafundisho na furaha katika maisha.. Kusema kweli threads ambazo sitazisahau 2012 ni hizi zifuatazo 1. Matola vs Zomba jukwaa la siasa.. hii...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wana MMU Natumaini mko wazima ila wachache wanaoumwa nami nawaombea kwa Mungu awaponye, Leo nimekuja na hoja hii ya baadhi ya watu ambao wanakuwa katika hali fulani ya maisha yaani...
1 Reactions
30 Replies
2K Views
V.I.P Ni aina ya chupi ambazo zilitawala sana kila mwanafunzi alikuwa Nayo bila kujali jinsia, Maajabu ya V.I.P Kwa wale wana michezo watakumbuka zilikuwa Raisi sana kukatika pale ikweta,Then...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Wadau wana chit chat,mapema leo nilitangaza kutafutamchumba hapa jamvini. Yamekuja mapendekezo mengi na ushauri mwingi. Baada ya kupitia mapendekezo kwa makini na kuyafanyia kazi nimefikia uamuzi...
8 Reactions
244 Replies
11K Views
Habari njema kwa wabahiri kama wewe,nakukumbusha usinunue kalenda ya mwaka 2013,kwani unaweza kuitumia ile ya 1985,1991 na 2002..zipo sawasawa.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna mzee 1, aligongwa na pikipiki, ikamuangusha chini na kulalamika kwa maumivu, akatokea msamaria mwema akaagiza "MLETEENI MAZIWA!" yule babu kusikia vile akasema "NA MAANDAZI MATATU".
0 Reactions
7 Replies
2K Views
A dog asks a cat "How come I've never seen you cats making love in public?" The cat replies, "Do you want humans to steal our style like they did yours?"
0 Reactions
0 Replies
787 Views
Macho yako ka mke wa mtu aliyefumaniwa,poa twende xaxa,xaxa,unatembea na demu unatngsha mwenyewe.....,
0 Reactions
43 Replies
6K Views
mwizi acha atoe KALI mahakamani baada ya kusomewa mashitaka yake ya wizi wa SIMU akapewa nafasi ya kujitetea ikawa hivi,"Nilikuwa napita zangu nikasikia simu inaita NIBEBE NIBEBE UNICHUKUE...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom