JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Heri ya Mwaka mpya wana JF wote! mwaka 2012 JF sikutimiza malengo yangu yote mimi niliingia humu JF ili niopoe mdada angalau mmoja humu lakini jitihada ziligonga mwamba wadada wa humu ni...
0 Reactions
0 Replies
859 Views
Kama unataka kuwa maarufu Tanzania na duniani kote kwa muda mfupi tena bila gharama, chukua kitoto cha nguruwe kakifungie msikitini, piga chata lako hapo, halafu sikilizia. Warning: Don't try this!
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimesoma kwa shida na taabu nyingi, misukosuko na dhoruba ndizo zinazo endelea kunisonga tangu nikiwa mdogo, labda rabsha hizo kwa kizungu ndio huitwa challenges. Mtaa ninaoishi ni wa hali ya...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Jamani huyu member mbona haonekani jamvini kulikoni?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Heheh'ni lip kati ya haya hujawah kufanya utotoni: 1: Kucheza kombolela 2: Kukojoa kitandani 3: Kulamba mafua 4: Kubaka panzi 5: Kulilia nguo za ckukuu 6: Kucheza kibaba na kimama 7...
4 Reactions
32 Replies
7K Views
habari waheshimiwa wa CC? nimeona Mwaka huu nianze na tangazo nililofunga nalo mwaka 2012, kwa salamu kuwa nimerudi na kama kuna mtu alishika nafasi yangu mwambieni mapema am back salamu nyingi...
7 Reactions
67 Replies
5K Views
Mlevi mmoja alikuwa anapita kando ya mto, mara akamwona Pastor anawabatiza watu. Akaamua na yeye kujiunga kwenye foleni, ilipofika zamu yake akazamishwa mara ya kwanza. Akaulizwa ''umempokea YESU...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Leo wakati nanunua magazeti niligundua kuwa wote waliotangulia kununua hawakuchukua gazeti la juu. Nikamuomba muuzaji ajaribu kumtolea mteja anayefuata gazeti la juu kabisa, lakini naye akakataa...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Nimekuja kuwashika wana Chit Chat, Hebu pigeni makofi tafadhali
3 Reactions
147 Replies
6K Views
hellow CC, Hope mko poa, nipo njiani kwenda Moshi, na wiki hii wana Jf wa Arusha nina kikao na nyinyi. Have a nice Sunday every1 I love you all.
1 Reactions
57 Replies
3K Views
Hii nimeinyaka mahali: Juzi wakati naelekea home nilipita pale Salenda bridge nikaona mfuko umetupwa kando ya barabara,nikasogea nikaangalia ndani nikakuta millioni 5 na vitu vyingine kibao...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Mie natokea ukoo wa akina king'ast, na arabela. Nakusudia kufunga ndoa na mrembo yeyote mwenye uzuri na sifa yeyote,ndoa itafungiwa hapa ha CC.na tarehe itatangazwa baada ya kumpata mrembo. Haya...
0 Reactions
79 Replies
4K Views
mkipata taharifa kuna ndege nyingine ya serikali inauzwa laki 5,naomba mnishtue,niko na ndoto siku nyingi ya kumilik ndege ata kama isipopaa nitaiweka garden tu kama kivutio, atayepata taharifa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wana Jf Leo kuna ki2 nngependa kukifahamu. . . . . Kuna watu wanasema ya kwamba Mwanaume mmoja ana Akili ya wanawake 28 (ishirini na nane) ikimaanisha ana akili zaidi ya mwanamke...
0 Reactions
9 Replies
839 Views
Wakuu hawa ni ndugu Rutashubanyuma na Ruttashobolwa ? Naamini kila n'tu anamixiwa nao.
0 Reactions
30 Replies
2K Views
Waitu ni ndamya!!Shumaramu waitu!!shumaramu em'pango!! Mpeleze omtono eibara ly'omwaka 2013 ni WEBANGE Nik'wo kugamba o'ye yemele otalilinda,anga kugila o'ti aliyo n'nanka alanjuna!Omakama...
3 Reactions
44 Replies
4K Views
Mimi mwaka mpya umenikuta niko church nikimuabudu Mungu. Je, wewe mwaka mpya umekukutia wapi?
1 Reactions
41 Replies
3K Views
Katika safari kulikuwa na MZUNGU, MCHINA ,MMASAI & MCHAGA, ... Wakiwa katikati ya safari meli ikaanza dhoruba na kuelekea kutaka kuzama, ikalazimika kila mtu atupe baharini mizigo aliyobeba...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kweli wakenya noma...kwa wale wenye ving'amuzi mtakuwa mnaenjoy vya kutosha kipindi cha comedy kiitwacho NASWA katika tv ya Citizen..nimekipenda sana,macomedian wa kibongo tunawasubiri kwa hamu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom