Jamaa kaingia bar akamkuta mlevi anakunywa biere huku akiwa na mbwa pembeni.
(JAMAA):Oyaa mbwa wako hang'ati?
(MLEVI):Hapana hang'ati.
Jamaa akavuta kiti akakaa na kuagiza kinywaji.mara ghafla...
Babu baada ya kwenda mjini akitokea kijijini alipokelewa kwa vyakula na vinywaji vyakutosha, mpaka akasaza, baada ya kushiba na kuanza kunawa mikono, akasikia mwenyeji wake akìsema "weee david...
facebook wengine kila siku wanabadilisha status mara single,mara in relatioship,mara complicated,mara tena single,
ukitaka like adi uandike kitu cha kijinga,ukisema nimeshinda million 50 upati ata...
Wapendwa woote kwa pamoja mkiongozwa na mon sherrry Ronn M na mama gfsonwin,shem@Erickb52 na wote kwa pamoja nawatakia kheri ya mwaka mpya uwe wa amani ,mafanikio na baraka telee!
jamaa kamtoa mpenzi wake out
jamaa: chips yai bei gani?
mhudumu: elfu 2
jamaa: zina kachumbari?
mhudumu: ndio
jamaa: kachumbari mnauzaje?
mhudumu: kachumbari ni bure
jamaa: ok basi naomba...
My new year resolution is to simply remember to write 2013 instead of......2012
Please we dont have to judge each other by our past, we dont live there anymore. Its a new year we thank God for...
Hey guys!
I need your opinions on this.Some people believe that praying loudly makes God know you are serious.Others view it as a sign of maturity in Christ.Some churches even say praying loudly...
Wadau kwa hisani ya Bishanga na TANMO na bodi ya wadhamini kwa ujumla wake niwape mbili tatu zilizotukia hadi tunafunga mwaka 2012 kama ifuatavyo
i. Madame B awagonganisha Ruttashobolwa, Chili na...
Wadau wote wa CC........
Naitisha rokoo hapa, ambaye kafungua mwaka 2013 akiwa majicho.... Nikimaanisha watakaoitika kuanzia saiv mpaka saa 12 asubuhi aitike kama ifuatavyo:-
2012 na 2013...
jamani wenyeji wa humu Chit-Chat naombeni hifadhi walau hata ya wiki moja hadi huu mwaka uishe, nimetokea kule jukwaa la stress kuna wale vijana (siku hizi wanaitwa masalia) wameniudhi sana...
1.Eti jeneza laki 4,kwani linafufua?!
2.Eti hand bag 80000,kwani inabeba mimba ama?!
3.Eti bash ya kuvuka 2013 ni 80000,kwani itanivukisha hadi 2015 au?!
4.Eti kuangalia movie ni 12000,kwani...
Jamani hivi wanawake wenzangu mnajua alichokifanya huyu Mzee Bishanga. Basi wiki iliyopita inasemekana alionekana Maeneo ya Mwananyamala 'A', pale Leo Tupo Hapa Pub walipokutana wana Chit Chat ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.