JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za wakati huu wanajamii Wenzangu. Mimi kama mmoja ya wadau wa elimu na masuala ya kijamii nina maono flani nataka kuyafikisha kwenu kwa ushauri na upembuzi zaidi. Kwa nini serikali ama...
1 Reactions
0 Replies
835 Views
Wenye simu zinazo onyesha TV tunakula burudani tu bila king'amuzi, tofauti na TCRA walivyo tangaza. Endeleeni kuinjoi wadau.
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Mlevi alienda kulala dampo,Chizi naye akaenda hukohuko, alipofika dampo akakuta mlevi kalala matak....o wazi,chizi akaanza kuyashikashika huku akisema,'kweli duniani kuna watu matajiri haya...
4 Reactions
15 Replies
3K Views
Ukweli nikuwa naye humu JF kwa mwaka sasa ila nimeachana naye naye simwingine najua nyote hili jina siyo geni masikioni mwenu!Ni huyu 2012 nimeachana naye na kwasasa ninaye 2013 ila sijui tabia...
2 Reactions
31 Replies
2K Views
Hapa tunakatakata madebe,na kupasha moto madufu. Ikifika mda kutembeza mitaa yote ya huku kwetu migomigo. Kama upo karibu dondosha eneo lako tukuletee mpaka uwanjani umuone amu anavyosakata...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
hadi nimetoka Tanga, hakuna aliyeweza kunitambua achilia mbali kunitazama kwa macho ya samaki na Paka. Mshindwe midume nyie wachoyo wa mali zenu. Happy New Year, bora niwasamehe bure
0 Reactions
66 Replies
3K Views
Jamane ndo naingia leo kutoka kijijini naomben nipate registration,natoa offer kwa bi mdada wa kwanza kunipm atapata diner nyumbani lounge!!!
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Jamani kuna mtu kaniambie eti waigizaji Vicent Kigosi( Ray) na Blandina Chagula ( Johari) ni wapenzi au kwa lugha nyingine ni mke na mme vipi wakuu kuna mwenye data kamili atumwagie hapa.
0 Reactions
18 Replies
21K Views
kha..!! Mi leo nmeshangaa sana et ndo mwaka mpya nikijua ntaona kumebadilika kidogo labda ata jua lingewaka la rangi ya blue.....agrrr....!!! damn it huu mwaka nahisi utakua ni mtumba NB:sio...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mzee mmoja aliongozana na binti yake kwenda kwa mwanaume aliyempa mimba, huku akitweta kwa hasira. Mazungumzo yalikuwa hivi:- KIJANA:- Ni kweli mzee mimi nimemtia mimba binti yako. Ila akizaa...
20 Reactions
27 Replies
5K Views
Juzi tulipata wageni kutoka China walikuja kutembea nchini kwetu na kusherehekea mwaka mpya. Katuka watu waliokuwemo kwenye msafara wa kuwaongoza namimi nilikuwemo kwakuwa najua kichina kidogo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mnajua kwa nini? kama mnapitia majibu ya post zote nadhani mbavu zenu zitakuwa zinauma watu wanamajibu balaa poleni sna
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wana jamvi la Chitchat... Pasipo kupoteza wakati naamini wengi wetu tumekuwa tukifuatilia mchakato mzima wa kumpata JF Miss Chit tangu ulipoanza na hata leo tar 31/12/2012 ndio hitimisho...
7 Reactions
39 Replies
2K Views
fungua hii link utoe stress.. world most funny video ever - YouTube
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa kuvuka salama 2012.Ukome sasa kutembea peku peku,shukuru Mungu amekunusuru phina ni hechaivi negative and so is her current bf the great billionare!
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Wasalaam wana JF. Kwanza napenda kumshukuru mwenyezi Mungu kwa kunijalia mimi, familia yangu, ndugu, jamaa, marafiki na wana JF kwa ujumla afya njema na nguvu ya kuuona mwaka 2013, Ni wengi...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Jamaa mmoja alinunua kifaa chakumkamulia ng'ombe maziwa, alipofika nyumbani akasema ngoja akijaribishe. Akakivaa kwenye Dushelele halafu akakiwasha ghafla kikawa kinamtekenya mpaka jamaa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
mara nyingi tumejikuta tukichapia au kuongea kinyume bila wenyewe kutaraji au pia tumewasikia wengine !cheki hii hapa natumai una yako. Gongo la mbali na mboto wapi ubungo?
1 Reactions
53 Replies
7K Views
Sema wewe!!! Buruduka na music, movie (aaaah, kanumba hayupo), haya waweza kupata japo wine hapa Dodoma Mvinyo!!! Kama ni shida, Tafuta kitu ingineeeee, umeniskia kongosho, madame x, na...
0 Reactions
2 Replies
954 Views
Back
Top Bottom