JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
There was an accident, the police came in and started investigations. this time the interrogation was between the police and the cat. Police: What has happened? Cat: My Masters and were involved...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
I'm so sor sweetylady naamini itakuwa vigumu kunielewa ila ndivyo ilivyo. Mapenzi yetu yalikuwa matamu na mda mwingine machungu ila niliweza kuvumilia. Visa vingi umenifanyia hivyo kunifanya...
4 Reactions
405 Replies
16K Views
Kuna waliotaka jana nipigwe BAN ya maisha mods wakaipotezea, wengine wakaniponda na maneno mabaya wakadhani nitaogopa nipotee humu, kudadadeki hatishwi mtu nyau hapa, weraaaaaaaaaa!! Halafu leo...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
A boss was telling an applicant the two main rules of the company... He said Our 2nd rule is cleanliness. Did u wipe ur feet on the mat before coming in? the applicant replied, Yes Sir! I did...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Walevi waliokota kioo.,mlevi wa kwanza baada ya kutazama akasema.,"Hii sura si ngeni ila jina silikumbuki"..Mwenzie akakichukua kile kioo na kuangalia kisha akasema "We chizi kweli,si mimi huyu...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Hayawi hayawi yamekuwa. Kama kuna watu walikuwa na mashaka basi wakuje waone wenyewe. Karibuni sana wageni & feel at home!! Babu DC! Updates Day 1 imeisha salama na sasa tunasonga mbele...
8 Reactions
318 Replies
14K Views
Wanabodi. Naomba kuuliza kidogo kuhusu New Technology ya Digital. Eti wale wenye simu zenye TV wanatakiwa kununua king'amuzi ili kuona TV. Nifahamisheni wanabodi.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kiufupi ni kwamba nimeboreka sana na nina mihasira balaa hapa nilipo. Nimewatafuta wala bata kama watatu ambao natoka nao wote wamekumbatiwa hawawezi kutoka. Na mie leo kila nikikaa kitandani...
0 Reactions
42 Replies
3K Views
WABHEJASANA azichapa kavu kavu na gfsonwin TAIFA watu8 aamulia bila mafanikio mpambano ukawa droo Zinapigwa, watu8 anaamulia Ndondi watu8[/USER] alijitahidi sana...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
aaaaaaaaaaaaaaaaash! Filipo, Blaki Womani, marejesho, Lily Flower, sweetlady, Arushaone, Erickb52, Mzee wa Rula PakaJimmy na wengineo kutoka kila kona ya chitchat
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Choose your actions and words wisely this year so that you are remembered as a good human being, a great friend and a true guide when you end this year. HAPPY NEW YEAR!
0 Reactions
0 Replies
545 Views
Nenda wana kwenda mwanawani lakini hii nizaidi ya kali. Ewe mwanaume, unawezaje kupokea kichapo toka kwa mwanamke uliye mlala na akakuzalia issue? Kama si laana ni nini? Nadhani hata wale wa...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Hi dear; Yesterday, I was passing by your rectangular house in trigonometric lane. There I saw you with your cute circular face, conical nose and spherical eyes,standing in your triangular...
0 Reactions
0 Replies
871 Views
Jumuiya na ubalozi watanzania washington.. ..wanakuletea.....new year's eve bash kwa watanzania wote wa dmv na majirani....burudani kutoka kwa lokassa ya mbongo...freeee champagne toast at...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nilifika Jana TNG saa 9 kasoro ivi, bahati mbaya ni mala yangu ya kwanza kufika pale, basi katika uliza uliza kuna binti mmoja ni mrembo hata beyonce hatii mguu pale, akasema eti na yeye ni Jf...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
habari wana chitchat,kiukweli naipenda hii jukwaa nasoma kila siku yani ila natamani kucomment nashindwa mana kila post nayo iona ni kwamba wanaochangia ni walewale like mnajuana na mnajua nini...
0 Reactions
30 Replies
2K Views
Wapendwa wana CC! Nashukuru sana kwa faraja zenu wakati wa msiba, Nimerudi salama. Shukrani zangu ziwafikie wana JF wote!
0 Reactions
2 Replies
927 Views
Presha inapanda, presha inashuka, kila nikipigiwa simu ni mambo hayo ya matokeo inasemekana waliofaulu ni asilimia 15 tena wale ambao walirudia mitihani au walioexempt somo moja. Na...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
wachaga wasirudi mjini maana foleni imepungua kwa kiasi kikubwa..........kutoka gongo la mboto hadi posta unateleza kama vile usiku wa manane....
0 Reactions
0 Replies
648 Views
If she don't come into my hut, she will hurt my heart. She sales seashel in Seychelle. Never say never again. Careless whisper. Naomba nisaidiwe maana ya sentensi hizo hapo juu kwa kiswahili
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom