JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nukuu ya leo by: Benjamin Franklin,mwana siasa na mwanasayansi wa marekani.Alizaliwa mwaka 1709 na kufariki mwaka 1790.
0 Reactions
0 Replies
909 Views
Ingekuwa vipi kama kila unapomsaliti mkeo/mmeo jino moja linatoka. Kudadadeki! Teh Teh Teh Teh Teh! Saa hizi ungekuwa kibogoyo ndugu yangu. Mipengo na mifizi nje nje. Teh Teh Teh Teh Teh...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamaa baada ya kupewa kazi ya ukalimani wa lugha ya kingereza mambo yalikuwa kama yafuatavyo:- MZUNGU:My name is LIVINGSTONE. MKALIMANI:Jina langu ni JIWE LINALOISHI. MZUNGU:I was born in NEW...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu wana CC, ikumbukwe kuwa hapo awali nilitoa sample moja ya JF wallpapers...kwa muda nilikua kimya ila sasa nimeweza kuongeza nyingine kama 4 au 5 hivi ikiwemo moja ya Christmas na Mwaka...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Anadai anawashwa na makalio na nimwanaume......
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapo wanyama wengine ni wapole na wavumilivu hata kwenye mauti kama hawa. http://www.youtube.com/watch?feature=endscreen&NR=1&v =wS1rU5SAskU Pregnant wildebeest attacked by two hyenas...
0 Reactions
2 Replies
689 Views
Hebu, jisikilizie, ni bonge la show, very entertaining, very educative. Big up Gadna
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Life was not good without you.....
2 Reactions
47 Replies
2K Views
Jamaa mmoja alikuwa hajawahi kuvaa chupi.Siku moja akaenda dukani kununua chupi.Baada ya kuinunua akamuuliza muuzaji mbele wapi?
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Fido huoni kifutu hicho? Si hicho hapo?
0 Reactions
4 Replies
933 Views
Makabila mengine wanakuwa wanamajina ya ajabu sana eti mtu anamzaa mtoto wake anamuita, sikuzani, sikupenda, sikujua, mnayenu, fitina, sijali, na wew tupia yako unayoyafahamu...
0 Reactions
82 Replies
11K Views
Dear Mwl. Nyerere, Tangu uondoke hali hapa Tanzania imebadilika, 1.siku hizi mlima Kilimanjaro uko Kenya, 2.ziwa Nyasa liko Malawi, 3.Tanzanite iko Kenya, 4.Tanesco ni ya Lowassa, 6.Rais...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Just be yourself no matter what!!!!"never pretend
0 Reactions
5 Replies
648 Views
Happy Birthday Mwita Maranya a.k.a baba yake mchumba wangu gfsonwin na mpendwa wangu wa moyo Zion Daughter. Tunakutakia Mwita Maranya maisha marefu na yenye furaha, uendelee kukua huku ukimpendeza...
8 Reactions
79 Replies
5K Views
Jamani Sisi wa ST kayumba,haya mahesabu yalitushinda. Hyo hapo juu ni shilingi Ngapi? Nimeoiona kwenye Gazeti la Nipashe.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani namtafuta mke wangu! Sijamwona weekend yote hii! Ata anibeep tu mi ntampigia. Yaani DA wangu nimejua jinsi ulivyo na nafasi kubwa kwenye mtima wangu yaani hata Tembo hawezi kuiziba kwa...
2 Reactions
47 Replies
4K Views
Hilo neno limekuwa likisikika kwa watu mara nyingi sana kwamba mjini 'dar' kuna dili nyingi hauwezi kufa kwa njaa, sasa jamani mi ningependa kuzijua hizo dili ambazo baadh ya watu wamekuwa...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Natumai wanajf mnaendelea vyema ila nina Neno la kusema nanyi mwishoni mwa mwaka huu 2012 Awali ya yote nawatakia sikukuu njema ya XMASS na mwaka Mpya mwema. Ila nina jambo nataka kuwashirikisha...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Jamaa watatu walishinda pesa,walipozigawa wakaamua kila mmoja wao atoe kiasi flani kama sadaka. Jamaa wa kwanza Wafula akasema:"Mimi nitachora duara,nisimame katikati nirushe pesa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom