JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ashukuriwe Mungu muumba. Eti ukitaka kujua uimara wa mwanamke kwenye nyumba ni pale UCHUMI UTAKAPOYUMBA kunako nyumba. Wababa wengi eti wakati huu wa mdororo wa uchumi wa Familia tunakuwa wadogo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna Kampuni moja ilimuajiri mlinzi kipofu.Mashariti ya kupita katika geti la Kampuni ni lazima uwe kipara. Unapotaka kupita yule mlinzi anakupapasa kichwa ILI KUHAKIKISHA KWAMBA WEWE NI...
0 Reactions
0 Replies
994 Views
Kwa kila post anayojibu au kuanzisha huwa imekaa kikomedi komedi na utaishia kukenua magego. Hivi ana undugu na 'marehemu' Bujibuji huyu?
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Katika nyumba nyingi sana-hebu chunguza au jaribu kukumbuka-kuna hii tabia ya wakazi wa kwenye nyumba hizo kutumia mlango wa nyuma/jikoni wa nyumba wanapoingia ndani badala ule wa mbele ambao...
3 Reactions
65 Replies
7K Views
Kwa mliomkosa kumuona mama Tunu Pinda, baada ya kuimba imba kipogoro chake cha Uponera, eti akaishia kuwaambia wanawake wenzake kwa kusema 'Nilikuwa natambika sina lolote', na jinsi hiyo tv ya...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Ticha katoa assignment madogo wachore mchoro wowote mzuri kwenye karatasi nyeupe. Baada ya dakika 6 dogo mmoja akasimama kumpelekea ticha karatasi kwamba kamaliza. ticha kucheki akaona...
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Jamani salamu kwenu. Naomba mwongozo kutoka kwa wadau wote, kuna swali nimeliona mahali liko hvi WAKATI MTOTO ANAZALIWA WA SURA TOFAUTI NA WEWE YAANI WA NJE YA NDOA BABA ULIKUWA WAPI? Hili...
0 Reactions
0 Replies
738 Views
Kama vijana wa taifa hili ndo wanavyotumia simu zao, basi simu hazifai; wengine wanazitumia kuweka picha kwenye blog zao SIKU NZIMA, wengine wawasiliana na wapenzi wao SIKU NZIMA, wengine...
1 Reactions
7 Replies
978 Views
Kuna jambo nimetamani kulijua ila naogopa 'maneno' ntakayoporomoshewa naweza nikakosa usingizi wa leo!!!!!!!
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Mwajei: Dia nipo Kariakoo, kuna jeans nimeiona nimeipenda inauzwa efsalasin, ningenunua sema wallet nmesahau, pls nirushie tigopesa darling. Beka: *150*01#... TigoPesa: Umepokea Tsh 1000...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Weekend njema!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndio, mida yao sasa ivi' wengine wapo landmark hotel' wengine mabanzini guest house' wengine nyumbani' wengine kwenye ma hostel' wengine ma ghetoni' wengine wanamalizia mabao mawili ya mwisho' na...
0 Reactions
121 Replies
6K Views
0 Reactions
2 Replies
839 Views
Ikiwa namba yako YA SIMU inaishia na: 0- hamnazo 1- mrembo 2- bwegebwege 3- mcheshi 4-jeuri 5- mzinguaji 6- hekma 7- mpole 8- mwehu 9- kicheche Mwenzangu uko wapi?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wakuu itakuwaje ukibambwa kama huyu jamaa? Kuna haja ya kumrudia aliye tuumba
0 Reactions
17 Replies
1K Views
0 Reactions
1 Replies
961 Views
Msiba uko Mbagala, au Gongo la Mboto, watafanya kila nia waje wazike kwenye makaburi ya kinondoni. Je makaburi ya Kinondoni yana nini special? Au Kinondoni ndio kuna geti la kwendea MBINGUNI? Au...
1 Reactions
31 Replies
2K Views
Malzia stori híi"ilkuwa hv ila nafungua mlango wa gesti,nkaanza kucheka hah,de,deh,mara.,.....
0 Reactions
8 Replies
2K Views
.
1 Reactions
86 Replies
29K Views
Dear Nyerere enzi zako ulikua rais peke yako nchini siku hizi wako kibao , kna mpka rais wa mateja,wasafi, masharobaro,,,,,,,,,,,shusheni na zenuu hepi independensiiiii:israel:
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom