JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Death came to a guy and said, "My friend, today is your day!" The guy said, "But I'm not ready!" Then death said, "Well, your name is the next on my list...." Guy: "Okay, then why don't you...
0 Reactions
1 Replies
677 Views
MALIZIA MISEMO IFUATAYO (1)Utamu wa kazi ni "PESA" (2)Utamu wa usingizi ni "NDOTO" (3)utamu wa FACEBOOK ni.......... (4)Utamu wa mapenzi ni.................. (5)toa na wewe ya kwako............
0 Reactions
33 Replies
7K Views
Wandg namshukuru sana Mungu kwa siku nyngine ya Pekee sana ambayo ni siku ya leo Tar 12/12/2012 ambayo ni siku ya kuzaliwa/ BIRTHDAY nina furaha sana Mungu kunipa Pumzi tena! Na naomba anipe...
0 Reactions
20 Replies
1K Views
Yaani dada zangu kwa hii story ifuatayo mwenzenu amecheza chini ya kiwango.. Mkazi mmoja wa Buza kwa Lulenge (Yombo) anaeitwa Mustapha Mchele amemuua mwanae kwa kumcharaza mapanga baada ya mama...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
  • Closed
Mimi mwanachitchat mwenzenu yapata mwezi huu nasumbuana na supermoderator Invisible anipe ruhusa kuingia hilo jukwaa ila Invisible kaweka pamba masikioni na mbaya zaidi hanipi sababu. Kwa hiyo...
0 Reactions
36 Replies
2K Views
Kama heading inavyosema, naomba mniwekee vitheluji hapa jf Ili nikiwa nasoma najua kabisa season ishaanza Nianze kununua makoti marefu na kofia, chezeiya snow Nawakilisha. . .
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Umofia kwenu ila mie sio m-nigeria kama Bujibuji mwingine Na wala sio old kama Nyani Ngabu mwingine hata hivyo sio Njuka kama kisoda mwengine natema ujumbe lakini simzidi AshaDii mwingine...
10 Reactions
44 Replies
3K Views
Mganga wa tausi ni KA... Kalumanzila La.... Lala salama Ma.... Mama mzazi Zi.... Zizi la ng'ombe Mbe.... Mbele ya nyumba Mba.... Mbali na wewe We............... Du nimesahau muendekezo...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Unaingia Hotelini au Mkahawani na unaagiza supu ya nyama ya ng'ombe.Ukiwa umekaa huku ukisubiri hiyo supu mara anakuja muhudumu na kuuliza nani ng'ombe?Utasemaje?
0 Reactions
3 Replies
6K Views
binafsi huwa nafikiri kuwa katika matatizo yote duniani theluthi mbili tunayo afrika.tatizo la usafir n sehem ya theluthi hiyo mbili.mataifa ya magharibi na mashariki ya kati huwa na theluthi moja...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Today is tripple twelve 12/12/12/, may i wish u good morning in this fantastic day which will never exist and happened again in our life. GOOD DAY AND BE BLESSED ALWAYS...chit- chat family.
0 Reactions
5 Replies
836 Views
jamani kila mdada nayempa anamkataa hata evelyne salt hamtaki eti ni gunia la misumari naombeni niwakabidhi niweze kuumaliza huu mwaka kwa raha.
4 Reactions
122 Replies
6K Views
Ama kweli Mungu ni wa ajabu leo ni tarehe 12/12/12 ambayo hutokea mara moja na huwa haijirudii tena. Una kipi cha kusema ktk siku ya leo??
0 Reactions
14 Replies
1K Views
kwako Baba V, napendekeza kuundwa kamati ya kuvunja ndoa za watu.uy mwenyekiti Mungi katibu awe Nicas Mtei wajumbe wawe sweetlady, LARA1, Kabakabana, Asprin, Erickb52. ndoa ya kwanza...
0 Reactions
30 Replies
2K Views
Kuna jamaa mmoja mshamba kipindi kile cha ujio wa chupi za V.I.P ,alinunua chupi saba za rangi mbalimbali ili kuwaonyesha watu kwamba amenunua chupi mpya.Ili kujionyesha kama anachupi mpya alivaa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Miaka kadhaa iliyopita uliletwa hapa ulimwenguni. Mungu alikuwa na kusudi lake kukuleta ulimwenguni. Hakika inafurahsha na kutia moyo. Sasa ni wakati wa kumshukuru Mungu kwa kukuteua kuendelea...
3 Reactions
152 Replies
7K Views
Nancy: dia nipo kariakoo, kuna jeans nimeiona imeipenda inauzwa 25000 tu, ningenunua sema wallet nimesahau nyumbani, please nirushie tigopesa darling Peter: *150*01#... TigoPesa: Umepokea Tsh...
0 Reactions
3 Replies
946 Views
hi jf members! heading hapo juu inajieleza, nakumbuka mwaka jana father x-mas kipindi kama hiki alikuwa anagawa sana zawadi za x- mas.......kwa mliopokea nadhan mnakumbuka!!! Nashangaa sasa hv...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni wakati wa kwenda kuoga kwa ajili ya kupumzisha miili yetu, hakikisha unajisugua vizuri ili usichafue mashuka. Usiku mwema Chitchat.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom