JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
SIJUI KAMA SIKU HIZI ZIPO HIZI1. Kupakwa GV kwenye kidonda 2. Kung'olewa jino kwa uzi 3. Ubwabwa kupikwa j2 tu 4. Kidonda kuwekwa unga wa 'rangi mbili' 5. Kupamba kadi sebuleni 6. Ukumbi wa...
0 Reactions
54 Replies
7K Views
Mi binafsi nitakunywa kreti moja ya bia nikiwa kwenye kaburi la baba yangu aliyekufa kwa sababu yao, ingawa pombe situmii! Wewe je? Tiririka . . . . . !
0 Reactions
34 Replies
2K Views
salamu sana wakuu siku ya leo huku mkuu rombo juwa limekuwa kali sana kuna vumbi la kufa mtu embu 2pe update za hali ya hewa hapo ulipo nawasilisha update za leo leo asubui hapa rombo baridi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mfano umeendesha gari ghafla kuna mtu kakugonga kwa gari lingine kushuka na hasira zako unakuta ni mdada bonge la mdada mrembo ana kila kitu kakamilika kila idara **** **** shepu anayo kiuno...
0 Reactions
38 Replies
2K Views
Mwanamke na mumewe wamelala usiku mara mwanamke katika ndoto yakr akaanza kupopoma " wewe fanya faster mumewangu anakuja fastaaaaa!!" Mwanaume kusikia hivyo akakurupuka kachukua nguo zake nduki...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mwanadada mmoja mrembo alienda mjini kufanya shopping,akapita mahali flani akaona muuzaji mmoja anauza kasuku elfu 25....akaamua kuulizia: Dem:"Mambo." Muuzaji:"Poa sista...nikusaidie nini?"...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
hodi hodi wana jamii forum
0 Reactions
4 Replies
649 Views
Nimekutana naye muda si mrefu anatokea Amana hospital kupima presha,kanambia usiku kucha hajala la. cacico of all the people kwani nini baba wa watu umemuacha solemba kisa papaa...
7 Reactions
73 Replies
4K Views
Naombeni mnijibu kama tutawajoin wenzetu wa arusha kwenda tanga nataka kupanga mambo yangu mapema na baby wangu tafadhali,au mnataka niachike tena? Acheni hizo kama hamtaki semeni na Rejao na...
2 Reactions
49 Replies
3K Views
Nimefanya uchunguzi wa kina nikagundua hili jukwaa la chit chat linapendwa sana na mafreemason. ukitaka kuamini angalia avator zao, hata mwandiko wao umekaa kifreemason mason. pm zao zimekaa...
1 Reactions
180 Replies
10K Views
Jamaa mmoja alikutana na mwanadada mmoja mwenye chunusi nyingi usoni na maongezi yao yakawa hivi; Jamaa; dada samahani unaitwa nani? Dada; naitwa Mwajuma. Jamaa; unatokea wapi? Dada; nimetoka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ugua pole madam sweetlady, kukosekana kwako jukwaani leo ilinifanye tuulizane. pole sana nakuombea kwa mwenyenzi mungu akuponye haraka tuendeleze harakati za kimaisha. afu ujue kuna member...
5 Reactions
168 Replies
25K Views
helow eti mapenzi bora ni yapi?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wadau,nina stress kupita kiasi!! Je,ni njia gani bora ya kupunguza au kuondoa kabisa stress? Maana naogopa hali ikizidi hivi naweza nikajidhuru! Msaada wenu Chit Chatters,namaliza vipi stress?
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Nashukuru kuwa mmoja wa mwanafamilia wenu kwani nimekuwa nikifuatlia hoja mbalimbali na michango yenu kwa ujumla kwa muda mrefu na ambayo inaelimisha,inaburudisha na pia inaonya kwa wale wanaopotoka.
0 Reactions
2 Replies
869 Views
Kichwa cha habari chahusika. Nimeletewa taarifa na mmoja wao kuwa baada ya kupima na kupembua namna ambavyo wameshindwa kuwa karibu kithioritikia na kibaiolojia kutokana na umbali wao na majukumu...
4 Reactions
91 Replies
4K Views
Tunaimani na tunaambiwa yakuwa msanii ni kioo cha jamii, je tunaelewa maaana ya huu msemo na nikweli wasanii wetu ni kioo cha jamii? Kioo huwa hakibadishi sura au uhalisia wa mtu/kitu,kioo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wapendwa wana jamii, kuna eneo lipo BUNJU A. nahitaji kulinunua, lakini anae hitaji kuniuzia amejitaja kama ndg wa D. BALALI, Msaada ninao uhtaji ni kupata mawasiliano ya watoto au mke wa D.BALALI...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Napenda kuuliza maana unasikia mtu anasema mimi mapenzi yetu hayakuwa ya kuzaa mtoto sasa kama umezaa mtoto mimi sijui!!!.....matokeo yake wanaopata tabu ni akina mama na watoto na pengine...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Duh! Nilimtania Paw kuwa ameaga dunia na matendo yake maovu na kuokoka!! Weeeh! Wacha anilambe ban ya wiki 2!!! Duuh! Nashukuru nimefunguliwa salama! Jela kubaya weweee!!!
2 Reactions
34 Replies
2K Views
Back
Top Bottom