Nataka kujua nyimbo ya kwanza ya dazbaba imetoka mwaka gani???? Na kati ya ngware na daz baba nani wa kwanza kurelease nyimbo na ilikuwa mwaka gani na albumu ya kwanza ya mangware ilitoka mwaka...
The Mexican maid asked for a pay increase. The wife was very upset about this and decided to talk to her about the raise.She asked, Now Maria, why do you think you should have a pay...
Hebu soma haya maneno ya kiswahili yanavyoandikwa ni tofauti na yanavyotamkwa halafu tunaona poa tu...kwa mfano:
NJE......eti tunatamka NNJE!!
MBWA..........MMBWA
Hebu nipe mengine.......
Asie na Mwana Aeleke Jiwe.....!!!!!
Na Asie Na Kofia Aeleke Pembe.....!!!!!!
HABARI ZENYU BHANAA......!!!!!!!
NARUDIA TENA HABARI ZENYU BHANAAA........!!!!
Mlio Pair Usiku huu Hongereni...na Mlio...
Kuna jamaa mmoja walihama na
kwenda kuishi
Uswahilini ,alimchoka Paka wa
Mkewe na kufikia Hatua ya
kumchukiaa , Alimaua kumbeba
ktk gari yake nakumpeleka
nyumba Kama 50 kutoka Hapo...
Nani amewahi kuamka asubuhi na kukuta mtu anamfuatilia utafikiri ameua kwao?
Watu wengine bwana!!
Yaani unakuta mtu mzima na ndevu zake anafuatilia weeee maisha ya mwanaume mwenzie au mwanamke...
Je kama machagudoa pia wangekuwa na WARNING SIGN(alama ipi ya onyo)?
Je kama mapenzi yangekuwa yanauzwa dukani....Je container lake lingekuwa na WARNING SIGN(alama ya onyo) gani?
Wana chit-chat heshima mbele, kwa watoto wa 90 miongoni mwa michezo ilikuwa malani, mitaani kulikuwa na mabingwa ambao waliogopeka kwa malani maana hao unaweza rusha ngumi au kulia. Shuleni vivyo...
A four-year-old boy was asked to return thanks before Thanksgiving dinner. The family members bowed their heads in expectation.
He began his prayer, thanking the Lord for all his friends, naming...
Yaliyo nikuta leo ni makubwa nimepanda basi fulani kutoka Mwanza kuelekea Dar. Niliambiwa ndilo linaaminika. Tulipofika Shinyanga disck za tairi la mbele zikawa zimeharibika. mafundi walitumia...
Nani amewahi kupata BAN?
Jamani BAN ni mbaya sana!!!
Yaani uhuru wote unanyimwa,chawa kibao gerezani,hakuna kuonana na ndugu na jamaa,habari za uraiani ndio unazikosa kabisa!!!
Sasa,ingekuwa...
1.Gari la kuvutwa hali overtake. 2.Kisigino hakikai mbele. 3.Mganga haagizi tembele. 4.Wimbo wa taifa haupigwi disco. 5.Feni haiwashwi beach 6.Mshkaki hauchomwi kwa jiko a gesi.
7.Hata bibi...
1. Ni Rais anaependa kusafiri kuliko kukaa nchini kwake
2. Ni Rais anaependa kubembea akiwa nchi za watu
3. Ni Rais anaependa kusikilizwa na wazee badala ya yeye kuwasikiliza wao
4. Ni Rais...
Je wadau mnakubaliana na hili tangazo linavyosema? hebu cheki hivyo vivazi vya akina lara 1 na wenzake
unaweza kupita hivihivi kweli bila kugeuza shingo??
UNGEKUWA WEWE UNGEFANYAJE Babu yako ni mgonjwa sana na wewe ni mjukuu pekee unaependwa kuliko hata wanawe , babu anasema anataka kuongea na wewe neon la mwisho la Moyoni kabla hajakata roho , watu...
Mungu Onesha Sehemu Hela Iko (MOSHI)
1. Hata Ikipungua Mungu Ongeza! (HIMO)
2. Mungu Angalia RAia NGawira Utuhakikishie! (MARANGU)
3. Mungu Ahidi Mapesa Bila Ajira! (MAMBA)
4. Mungu Wekeza...
Hiiii,
Guys Please Help me,
I want the answer of this question. If you guys then please let me know :
" Who was the man that walk in the Space First Time ?? "
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.