Maasai mmoja aliingia club kucheza muziki,mara Dj akaanza kusema,"Kata kiuno.....kata kiuno wewee!!"
Maasai kusikia hivyo akachomoa panga.
Mswahili flani karibu yake akamuuliza,"We vipi,mbona...
HAYA KILA MTU AJE KWA NAFASI YAKE.
mume wangu Kaizer nimekuletea ............berry alonionyesha Natalia pale marrylaine shopping mall naskia ukila hii lazima kadi za benki namafungu ya magap...
Ndoto zingine sijui inamaanisha nini.
ifuatayo ndo list ya uongozi wa nchi ya chitchat!
1. Arushaone - rais
2. Blaki Womani - makamu rais
3. PakaJimmy - PM
4. Filipo - waziri wa maji
5...
za leo waungwana jaman melala nkaota kila mwana jf amealikwa ila sa sijui na nan na niwapi hata mim mejiona kwa ndoto but sijui nan kanialika na wapi hebu mje mseme nyie ndo mwajua vema...
Nashangaa sana hapa bongo watu wanakua active sana kwenye jf siku
za kazi kuliko siku za wkend, nawatakia jumapili njema watu wote mliopata
nafasi ya kuiona hii tread.
Kwako:msomaji
kutoka:kwangu
yah:mwaliko wa X-MASS and NEW YEAR
husika na kichwa cha habari hapo juu.mimi ni kijana mkubwa ninayejiheshimu na mwenye nidhamu kuu.
Dhumuni la barua hii ni...
A young girl after her honeymoon came fully exhausted and tired.
When her friend asked her what happened??
She replied- when this 70year old bastard told me he has saved a lot from last 50years...
Mwanadada mmoja mrembo
alienda mjini kufanya
shopping,akapita mahali flani
akaona muuzaji mmoja anauza
kasuku elfu 25....akaamua kuulizia:
Dem:"Mambo."
Muuzaji:"Poa sista...nikusaidie...
She know how to present her threads and makes a reader enjoy reading the post, i have been a guest for sumtym till recent nimekuwa member and the truth is that when i read her threads,they make JF...
Wana jf nauliza,mtu anapokaa kwenye kiti,na kupandanisha miguu yake,mara nyingi watu husema jamaa kakunja nne,ila wanasahu sifuri aliyoikalia na kufanya iwe arobaini.akikunja mwanamama ni...
Mi nayapenda saaana haya:
1)Morocco Posta 150, twende! Konda, konda, konda, . . . !
2)Tangazo la zamani Clouds FM kipindi cha bambataaa
3)Ubungo Kariakoo la mzee Majuto!
Lipi lilikuvutia...
Salamu zenu wakuu,
husika na kichwa cha Thread hapo juu,
Huyu member bana amekuja siku sio nyingi ila ukweli ni kwamba kila nilipokua napita navutika kwake.
Duuh for the first time...
Unaenda nyumbani kwa mpenzi wako kutembea,na kwa mmomonyoko wa maadili wa siku hizi unalala hukohuko japo hata ndoa hujaambiwa ipo au haipo,sio neno...Unaondoka asubuhi unaacha Khanga...next...
Baaada ya kuruka ruka na kupiga sarakasi zangu za kutosha, kesho ni siku ambayo nauacha rasmi ukapera na kuanza kuitwa rasmi mume wa mtu.
I wish niwakaribishe woote lakini kwa wale wachache...
kuna mistari stereo anaimba
'najua dada yako hapendi rap kabisa,nami kuicha ni sawa na kuas kanisa" NAOMBA MWENYE KUJUA JINA LA WIMBO WENYE MISTARI HII ANISAIDIE JINA LAKE. asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.