Nimekutana nayo jana, kwenye daladala kuna konda wawili mmoja anachukua hela na mwingine anaita abiria.sasa mtu akitaka kushuka mkusanya hela anamwambia anamwambia yule muitaji shusha kituo flani...
Bi dada King'asti hebu nieleze, hivi wewe unavutaga cha wapi ili kuweka uso wa mbuzi kabla hujafunguka?
Kuna issue nyingine kabla ya kufunguka inabidi ulanduke kwanza, hebu leta maushauri ili...
Nimeona nami nitaje majina ya wanaume /vijana maana wanaume wamezidi kutuchambua kama karanga wenzao nami nimeingia katika kona hii nitaje baadhi tu ya majina yanayofahamika ya wanaume
1. vidume...
Mwalimu wa Historia
Mwl:Eeehe! Nam Alimuua Chifu
Mkwawa?
Mwnafunz wa 1:Aka sio mimi
Mwanafunzi wa 2:Wallah Sihusiki
Mwanafunzi wa 3:Kwanza jana ckuja.
shule,
Mwlimualipoona Wanafunz Wote ni...
Kuna mwizi mmoja alikuwa anavunja dirisha katika mojawapo ya chumba cha mpangaji m1 katika nyumba yenye wapangaji wengi. Bahati mbaya alikamatwa kabla ya kutimiza adhma yake. Wapangaji wakaamua...
Nilifungiwa toka Mwezi wa Tisa, yaani kama Mandela vile
Leo ndio nimefunguliwa, Nimewamiss sana Rafiki zangu
Lakini nasikitika nimeingia nikiwa mpya kabisa kwani
nimeshavishwa pete na nilikosa...
Habarini wadau!!
Chanzo makini kabisa cha habari kimeweka wazi miss Chit-Chat wa mwezi November Ciello,kutoa hongo kwa Lundenga wetu Ruhazwe JR,ili mashindano ya Chit-Chat ya mwezi december...
Helloooow!!
Mrembo wa kinyakyusa nimetia timu humu!!
Nilikuwa nawachungulia humu akina Madame B,Lara 1,Ciello,cacico,Zinduna,Erickb52,Ruttashobolwa,Nitonye,Chilli na wengineo wengi kipindi...
Nimetumwa na chama-CCM na Serikali. 'Kudeal' na mihela ya Wazito ile ya Zitto.Nitakosekana humu kwa majuma kadhaa. Tuombeane. Mkimuona Cacico,mwambieni nakumbuka maagizo yake. Mbaki salama!
Nipo kwenye Gari naelekea town nimetoka kimara. Nimekaa siti ya karibu na kondakta toka kimara nilikuwa natafakari kati ya hawa watu wawili nani ikifika jioni huwa anachoka zaidi.
Nikiangalia...
Kwa wale waliozaliwa kabla ya kuwa Tanzania nawatakia " happy anniversary" ya miaka 51 ya kuzaliwa pamoja na kupata uhuru wa Tanganyika na nyote mliozaliwa Tanzania kila mmoja kwa miaka yake...
One Friday morning, John woke up hurriedly and prepared for work. He worked
in a busy institution and was expected early at work. His wife worked a
distance from where her husband's office was...
SHERIA MPYA ZA BARABARANI:-
1. Ni Marufuku Vits ku'ovateki /kupita Range
Rover - Faini Tsh. 500,000 or Kifungo cha
Maisha.
2. Kama Honi yako haifanyi kazi, gari lako
litauzwa kwa mnada inunuliwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.