Wana JF,
Nimefanya utafiti kidogo kwenye hili jambo, kupitia kwa jamaa zangu na marafiki zangu na jamii kwa ujumla nimeona, ni kwa nini Wanaume wengi wanapenda kusaidia sehemu walipokwenda kuoa...
Huyu kijana alikuwa kabarikiwa haswa.....nyimbo aake ukizisikia lazima zikuingie ndani kwa moyo kunako mtima.....namsikiliza hapa alafu nilikuwa sijui kama ndio huyu alifariki Israel....
Nyimbo...
sijui ni upocho wangu au kutokua mfatiliaji sana
leo hii ndo nimejua km jf kuna mambo ya kuadd friends, ukicheck mmember since yang haistahili
Haya wanachama naombeni munijazie f...
MARKETING TO MBA STUDENTS.
1. U see a gorgeous grl in party, u
go to her & say i am rich, marry
me.-"That is DIRECT MARKETING"
2. U attend party & ur frnd goes
to a girl & point at u tells...
Tuache unafiki wa kupeana sifa sifa wakati,unaempa Unamchukia.
Funguka Nani unaemchukia Humu Jf,mwaka ndo unayoyoma,ili tuwajue na tujuane then Msamaha upite.
Hata kama wanafika idadi ya First...
UFISADI TRAINING COLLEGE
Chuo kinakutangazia nafasi za kozi zifuatazo kwa
mwaka wa masomo 2010-2015:-
Wizi wa Kura
Utumiaji wa Vyeti Feki ili Kuitwa Daktari
Kulipa Mishahara Hewa
Kuanzisha...
Kati ya hawa nani msahaulifu
zaidi???????????????? 1: alikuwa anakula huku anagonga
gonga meza mara akaacha na kuitikia
"ingia mlango upo wazi PITA TU" 2: alikuwa anacheka akatokwa na
machozi...
FAMILIA ya msanii Hussein Ramadhani Mkiety (Sharo Milionea) aliyekufa katika ajali wilayani Muheza wiki
iliyopita imedai kuwa haiamini kwamba kifo cha mtoto huyo kilitokana na ajali, hivyo...
Ticha: how old is your father?
son: as old as i am
teacher: how it is possible?
Son: yes it is possible because he become father only after i was born
@@@@@@@@@
Baba: mwanangu nikuulize...
Kijana moja sharobaro ambaye mpenda kuvaa kata key na kujikwangua nyusi na nywele leo kimemuakia cha moto. Ni mmoja kati ya mpangaji mwenzangu.
Wakati akifua nguo akawa anakamua suruali yake...
sasa hivi habari ya mjini ni "siri ya tungi". kila mtu mwenye stori lazima adokeze siri ya tungi. hiyo siri ya tungi iloingia mjini ndo nini? au ndo hayo mambo ya digitali?. naombeni ufafanuzi...
Wana Chit-Chat habarini!!
Nimepitia thread kadhaa na kugundua mambo kadhaa ikiwemo madongo ya kufa mtu,utani mwingi nk.
Pia nimesikia kuna mkaguzi hapa anaitwa babu Asprin.
Mie mgeni,naomba...
Wadau nadhani mtakuwa mnanielewa yaani hawa ndugu zetu wao wanaweka picha za sura tuuuuuuu ndo tunakuwa tunaziona basi cku moja nikakubaliana na mmoja ambaye na yy kaweka picha passport size duh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.