wakuu na waheshimiwa wa chit chat, kwenu.... yaaa
jamani mie leo napendekeza tupendekeze vijiwe au sehemu ambazo twaweza kuwa hapo na kufurahia mechi za pamoja
mie ningependekeza kwenye...
Mzee kutoka shamba kaibiwa pesa kwenye daladala k'koo - mbezi.Mzee katoa tangazo '' tafadhali aliyechukua hela yangu arudishe haraka kabla sijafanya tukio la mwaka 78'' Mwizi kusikia hivo jasho...
Mungu wetu atusaidie sana maana kifo ki karibu ye2
Ni vigumu kuamini lakini inatubidi kusadiki
Baada ya kusadiki ya kwamba tunapoteza watu muhimu na vijana zaidi tangu mwaka kuanza maana...
Morning pipoz!!!!!
Nilipoanza kazi kampuni A hakuna aliyeshangaa zaidi ya kunipa hongera... Kampuni nzuri yenye hadhi yake, ila siku nilipoacha na kuhamia Kampuni B kila mtu aliniona kama vile...
A herd of buffalo can move only as fast as the slowest buffalo. When the herd is hunted, it is the slowest and weakest ones at the back that are killed first.
This natural selection is good for...
Habhari yenu Bhana
Nimekuja rasmi kutoa ufafanuzi juu ya mashindano yetu amabyo huwa yanaendele hapa chit-chat.
Hii imetokana na maoni ambayo yamekua yanatolewa na member kadhaa hapa CC.
NINI...
Kuna demu alicmamishwa na jamaa akaanza kumuuliza maswal,binti c akaleta swagger za DNA:Una maswal mengi kwani we ni polisi?jamaa akamjibu:una chunusi nying kwan we ni fenesi.?
Sijapendezwa na tabia za wasanii wa bongo movie kabisa hasa wa kike. Nadhani watanzania wenzangu mtaungana na mimi kwa asilimia zote. Nawasihii wabadilike kwani kwa tabia zao hawatafika popote.
Naombeni majibu,juu ya weekend
Mliokwenda klabu,na ndoa mkadefend
Mkaiepuka aibu,mkaibuka washindi
Mlifanyaje?
Watu walilewa,wakafanyiwa mbaya
Na pombe wakazidiwa,wakazichota haya
Kwa lazima...
nyie wana chit chat mnalalaje sa mbili kwani nyie kuku? wakeup guys njooni ihapa makumbusho tukamate ngwasuma,dadadake bishanga niko ncwhwiii kwa mbaaaaaali namwona Invisible yuko na Madam B...
Ebu ona raha iliyoje kwa huyu mtoto kuwa na mama mwenye umbo zuri kumuwezesha kusimama kwa raha ili kuona nini
kinaendelea huko mbele. Jamani nani kama mama??
Nimeishi Mikocheni na Msasani kwa miaka mingi, lakini sikubahatika kumsikia msichana akiitwa Chausiku au Havijawa. Sana sana niliwajua kina Karen, jacquline, Linah, nk. Kwanini kuwepo tofauti...
Jamaa mmoja ambaye alikuwa anafanya kazi ya kondakta ndani ya daladala ziendazo pwani alipata aibu ya aina yake
pale alipokuwa ameuchapa usingizi wakati alipokuwa kazini mambo yalikuwa hivi:-...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.