JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
waheshimiwa weekend imeendaje/? poa bouna note.,:violin::violin::violin::violin::violin::violin::violin:
0 Reactions
28 Replies
2K Views
SIJUI KAMA SIKU HIZI IPO HII! 1. Kupakwa GV kwenye kidonda 2. Kung'olewa jino kwa uzi 3. Ubwabwa kupikwa j2 tu 4. Kidonda kuwekwa unga wa 'rangi mbili' 5. Kupamba kadi sebuleni 6. Ukumbi wa...
2 Reactions
30 Replies
3K Views
MARRY CHRISTMAS! Uongozi wa Jf nikianza na "Founder" SALUTEE, Mods, Viranja wa majukwaa yote ya Jf bila kumsahau "Monter" WA CHIT-CHAT. (jina nahifadhi kutokana na sababu za kiusalama...
4 Reactions
70 Replies
3K Views
umeniudhi sana! umenisikitisha sana! na ukibisha........................................................................................................................ Preta njoo mwaya !
2 Reactions
21 Replies
2K Views
we unafanyaje ikikutokea hiyo??
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu itakuwa sio vibaya tukikumbushia enzi hizo mara yako ya kwanza kwenda dukani or pharmacy kununua kinga, puto a.k.a c*ndom, ilikuwakuwaje. Mie nakumbuka nilipiga hodi dukani zaidi ya mara...
2 Reactions
148 Replies
7K Views
Japani waliunda kifaa cha kushika wezi: China, wezi 1000 walishikwa. Nigeria, wezi 700 walishikwa. Tanzania, wezi 500 walishikwa. Kenya, Kifaa hicho kiliibwa!!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MKWE:yaaani unakuja kuposa binti yangu huku unatafuna big G? JAMAA:Mdomo wangu unanuka nilivuta sigara MWE:na sigara unavuta? JAMAA:Nilivuta jana nilipokunywa pombe wkt niko club MKWE:eeeeh...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wale wa nyama choma, Wale wa roast, wale wa michemsho yoote utapata. Wee njoo tuu ujipatie baada ya kupiga SIASA sana njoo ujiburudishe
0 Reactions
3 Replies
901 Views
habari ya jumapili? hapa home kuna miti na maua... pamekuwa kuvutio kikubwa kwa ndege (birds) sasa cha kushangaza na kilichonifanya niandike huu uzi ni kwamba kuna vindege flan vidogo vinapenda...
0 Reactions
53 Replies
3K Views
Mdau nafahamu katika kutafuta kazi kuna mambo mengi ya narandana hebu sema wewe wakati unatafuata kazi ilikuwaje na ni maswahibu gani ulikutana nayo?? Je ulifanyeje kupata kazi?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hii itakuwa kati ya walevi na masober wa humu Chit-Chat (kama wapo). Mimi binafsi nitakuwa Team Alcoholic na nitacheza siku hiyo... So far nawatambua rasmi Kaizer, Madame B na Asprin kama...
5 Reactions
70 Replies
4K Views
Bhana eee kila nikiingia chitchat nakutana na story za malovee sasa sijui kuna watu wanapigwa BAN kimajukwaa au?? Hizi stor zilitakiwa ziwepo jukwaa la MMU lakini zimejazana humu sasa nawaomba...
0 Reactions
48 Replies
17K Views
Jamani mwenzenu naugua kabisa siku ikipita bila kula hata karanga moja kwani ugonjwa unazidi nakuwa kama teja kwa karanga hasa zile mbichi ni noma kabisa, nakosa usingizi nikiizikosa karanga kwani...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
1. Women live with greater vitality: "Girls just want to have fun" right? Women do enjoy life better than men and in general are healthier due in large part to the fact that women have a stronger...
0 Reactions
0 Replies
595 Views
Style mpya ya kutega girl akija ghetto hata kama ni mara yake kwanza. Akiingia ndani we toka nje urudi ukiwa uchi wa mnyama hata bila boxer,hawezi kuchomoa. Nimetumia na imefanya kazi 8 out 10.
0 Reactions
13 Replies
1K Views
ilikuwa ni ijumaa ya tarehe 24-11-2000, kipindi hicho nikiwa mwanafunzi wa Tosamaganga Iringa, siku hii tulifunga shule na kuruhusiwa kwenda makwetu baada ya kumaliza mtihani wa mwisho. kwa hamu...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Kuna kitu naenda kukorofisha kule jukwaa la siasa. Nishachoka na maisha, na sasa nimeamua kujilipua.............
5 Reactions
65 Replies
3K Views
Wanajamvi kichwa cha habari chahusika. Kwa nafasi yangu kama mwenyekiti wa Tume ya kuratibu mahusiano na ndoa hapa chit-chat nimefikia uamuzi kuchukua hatua tajwa hapo juu baada ya kubaini na...
5 Reactions
59 Replies
3K Views
Back
Top Bottom