Ukijaribu kuniweka pembeni,daima nitakukimbilia kukufuata ulipo zaidi ya Ruttashobolwa Chilli na tedo wanavyokukimbilia sa hv,
ooh Madame B penzi lako ni tamu kama asali,
ooh Madame B niambie...
Jamaa anapiga simu Makumbusho
ya Taifa"Haloo,hapo ni
Makumbusho ya Taifa?"OFISI:"N
dio 2kusaidie nini?"
JAMAA:"Ok,naomba mnikumbushe
mwaka juzi saa yangu niliipoteza
wapi?"...
Brazameni mmoja mpaka pouda katoka zake jijini daslam na bonge la pikipiki kwenda kuliuza Mererani.Alipofika nalo,wanaume wakaliangalia na kulikagua then wakaona ni zuri litawafaa.Wakamwambia...
nmejitahidi kumtambua macho ya Invisible lakini nmeshindwa. kila nikimuangalia ananikonyeza. naamin hapa jf kuna watu wanaweza kutambua jinsia ya mtu kwa kumuangalia macho, pua na hata masikio...
Habari wana CC?
Nimeona niungane nanyi kuwaeleza mpango wangu wa mwaka 2013! Kuna kero moja kubwa inanisumbua sana nilijitahidi kiuvumilia naona nimeshindwa mimi! Hili suala la michango ya harusi...
Barely a few hours after his appointment... a statement coming out of the Chelsea's Board Room says:
: Rafa Benitez has been sacked as Chelsea manager for failing to win anything since taking...
Thanksgiving is not only about
the turkey and the feast that
follows, it is a quiet reflection
of how God is showering His
abundant blessings upon you.
So thank Him with all your heart...
TAHADHARI MATAPELI WAJA NA
NJIA MPYA SASA
Kuna dada mmoja anasoma chuo
buguruni na pia ni mfanyakazi
hivyo jioni akitoka kazini ndipo
huenda shule.Sasa akiwa njiani
kuelekea chuo akapigiwa...
Kuna mji mmoja walikuwa
wanawaua wamakonde kwa
sababu ya kuchafua lugha
wakawa wanamuuliza kila mtu
aseme neno then akikosea
wanamua wakamuuliza jamaa wa
kwanza,sema sahani jamaa
akasema...
Hivi unajua kuwa English ni lugha ya wanyama....Maan a Paka akiona unamcheleweshea maziwa anakwambia,"NOW ."
Ng'ombe ukimpa majani akiwa hajashiba utamsikia akikwambia,"M0R E."
Mbwa ukipita karibu...
Risala fupi ya marehem CCM:
inaletwa kwenu na mimi Abuneri Mgaya
Marehem CCM alizaliwa 05/02/1977.
Enzi za uhai wake marehem alijishughulisha na kuua mazao ya biashara km...
Huku kweru Tarime sidhani kama dhana za ulinzi shirikishi au polisi jamii zinaaplai! Coz kwa mambo ya ulinzi tunajitegemea so hatuhitaji hata polisi; kama vipi Amir Jeshi angewaondoa tu kupunguza...
Sakata la Wagoni kunasiana sasa limekuja kivingine, na sasa maeneo ya magomeni kuna mwingine tena KANASA!!!
SIMU imeganda kwenye SIKIO, alikuwa anaongea na MKE wa MTU hivi sasa yupo MUHIMBILI...
HUWA NAJIULIZA SANA,TENA SANA HAPA NAPOISHI,,
KWANINI JAMAA KILA ANAPOENDA TOILET HUWA INA MCHUKUA MDA MREFU SANA KUKAA HUKO?
KILA ANAPOENDA KUITIKIA WITO MKUBWA i.e haja kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.