JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Niwatakieni usiku mwema na ndoto njema. Muote mmepandishwa vyeo makazini kwengu, ongezeko la mshara likiwa 1000%
0 Reactions
10 Replies
971 Views
naomba mnijulishe chakula gani mnakula pale ukata wa pesa unapowakumba
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Sikuwa na Mchezo baada ya kumaliza shughuli zangu Kariakoo...niliamua kutembea kutoka K/koo mpaka kimara Mwisho....muda niliotumia ni Saa limoja na dakika 15.... ...fitest for the fist...
0 Reactions
37 Replies
2K Views
Huh
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwenzetu@cacico yuko jela ya mahaba ya gereza la JF. Ban yake sijui itaisha lini. Tumuombee
3 Reactions
49 Replies
3K Views
Darasani kwetu alikuwepo mwanafunzi ambaye kwa kweli alikuwa mkali sana kwa masomo mengine yote isipokuwa Kemia. Ilipofika somo la Kemia yeye ndiyo ulikuwa muda wake wa kulala darasani. Siku moja...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Fuatilia video hapo chini halafu uniambie kama wewe ndiyo huyo mwanaume ungempigia simu huyo demu baadae?
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Jamaa amelala had Asubuh.. Kuamka akaenda had bafun kupiga Mswak c akijiangalia kwny kioo kujichek vzr c akajikuta amekufa ikabd harud kulala thn await ndg zake waje wamzike just smile
0 Reactions
2 Replies
970 Views
habarini za leo ndugu zangu! leo sijaamka vzr kabisa naumwa nina malaria na tonsils juu..hapa nasikia baridi sana na kichwa kinauma sana. Natamani kusoma posts za ndugu zangu humu ila nasoma kwa...
2 Reactions
77 Replies
5K Views
Eeeh bana eehh..... napenda kuchukua fursa hii kutambua uwepo wa pea ziliopo humu ndani..... kutokana na uzi...
18 Reactions
525 Replies
27K Views
Dah, hali ya hewa inanishawishi Hakuna mtu tusaidiane kuimalizia hii siku tulivu?
2 Reactions
61 Replies
4K Views
Nimechoka na pressure toka kila kona wakuu,kila kukicha unazeeka ,unazeeka na nikiuliza nazeeka kivipi wananiambia mpaka leo hujaoa tu bado unasubiri nini..??Au unataka wanao waje kukuita...
7 Reactions
99 Replies
5K Views
....Tafadhari jamani nasikia vidonge tajwa hapo juu vimeingia mjini hapa....mvitafute wale wenye Matatizo na kupenda kuwa na nyumba ndogo...... Jamani vidonge hvyo vidonge mnakunywa wote yaani...
0 Reactions
1 Replies
754 Views
Kama kweli unampenda mpenzi wako na unajivunia kuwa nae, comment kwa kumtaja jina lake.
6 Reactions
213 Replies
10K Views
Smart man + Smart Woman = Romance Smart Man + Dumb Woman = Pregnancy Dumb Man + Smart Woman = Affair Dumb Man + Dumb Woman = Marriage
0 Reactions
9 Replies
2K Views
The lawyer hopes you get into trouble... The Doctor hopes you fall ill... The Police hope you become a criminal... The teacher hopes you are born stupid... The coffin maker wants you dead...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
..Mi nimetoka Mazoezi nilianza Saa kumi kamili...mpaka saa kumi na Moja...ndo natoka kwenda kituoni kupanda daladala kuelekea posta... Dar huu mji haufai unafaa...swala kuwah kuamka halina...
1 Reactions
41 Replies
2K Views
Universal tanzanian jokes SIJUI KAMA SIKU HIZI IPO HII! 1. Kupakwa GV kwenye kidonda 2. Kung'olewa jino kwa uzi 3. Ubwabwa kupikwa j2 tu 4. Kidonda kuwekwa unga wa 'rangi mbili' 5. Kupamba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nilipanga mbegu DECI kama milioni nne hivi,kufikia leo sijui ningevuna ngapi jamaani, dah si bora ningeweka heshima TBL nikachangia pato la taifa, roho inauma
3 Reactions
70 Replies
5K Views
,kaazi kweli kweli!
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom