JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Twenzetu corner bar sinza tukavute mizigo,achana na hii midabwada ya chitchat.
1 Reactions
32 Replies
2K Views
Enzi zetu mwanafunzi wa sekondari lazima uwe na daftari lenye nyimbo za akina judy boucher, pamela nkuta, mc hammer, bob marley ivonne chaka chaka nk, na ukikaribia miezi ya mwisho kidato cha nne...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
JAMAA kaingia bar kwa fujo...JAMAA:lete bia hapa na kila m2 humu ndani mpe bia yake maana napokunywa bia nataka kila mtu anywe bia. WATU:Ha ha ha ha!!.wakapewa bia JAMAA:Lete mchemsho hapa na...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Omama,nakufa men,sijapenda men bado naipenda dunia men..izraeli usiniguse men unanichafua men... oma gad... Ndo maneno aliyetoa sharo kabla ya kukata roho yake.
0 Reactions
7 Replies
8K Views
Hakuna marafiki wa kweli kama ******.Kwani ****** yanavaa chupi moja.****** yanachapwa fimbo moja.Yanakalia kiti kimoja.Jee kuna marafiki wa kweli zaidi ya ******?Jamba kidogo basi ili...
0 Reactions
0 Replies
971 Views
Kuna mwendawazimu mmoja mwanaume alikuwa akitembea barabarani na panga mkononi huku aliwa hana nguo na (yaani yuko uchi wa kuzaliwa) na kichwani hana nywele ni kipara.Lakini hajanyoa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamaa mmoja alipita pembeni ya ukuta wa jela ya machizi, ghafla akasikia wale machizi kwa ndani wakishangilia kwa kuhesabu '12....12....12....12'. Jamaa akatamani aone kinachoshangiliwa humo...
4 Reactions
21 Replies
4K Views
Mchungaj: Nasema pepo toka katika jina la Yesu! Pepo: sitoki!!! Mchungaji: shindwa pepo! Toka na mwache huyu mtumishi wa Mungu! Pepo: sitoki. Nimemwingia huyu mtu ili ashinde bahati nasibu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nyumba ya Juma na mkewe Siwema ilivamiwa na majambaz,baada ya kuiba yakapanga kuwaua wote,ila kabla ya kuua, yaliamua kuwauliza maswal: JAMBAZI:"we mwanamke unaitwa nan?" SIWEMA:"Mm naitwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
"Kill him, not let him go" bila kuongeza neno lolote, ifanye hii statmnt iwe negative (kinyume chake)
1 Reactions
32 Replies
7K Views
Sikiliza mazungumzo haya hapa; MTOTO: "Mama hausigeli wetu ni malaika?" MAMA: "Kwa nini?" MTOTO: "Jana nilimuona ameshikilia ukuta akiwa uchi, mikono ameinua juu anaongea na Yesu anasema..'Ooh...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Kutokana na hasira nilizonazo, naomba Zinduna uandae msuto wa snowhite na FP pale Wantashi-Masaki Dress code: Smart Casual Vinywaji: Red Wine, White and Green Wine, Whisky, no biere Music...
8 Reactions
161 Replies
7K Views
Wadau ni aje? Viongozi wa hiyo show fanyeni mpango mamaaa midolari ya cristmass awepo mjengoni next week ili tujue mshiko tutaupata vipi? Najua natalia akiwepo nitacheka ninenepe mimi maana...
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Hellow CC Binafsi nimeumizwa sana na huu msiba wa Sharobaro coz nilikuwa nampenda sana kuliko msanii yeyote nchini. Kwa kweli nimepoteza furaha yote..kifupi niko kwenye majonzi sana. Naomba...
1 Reactions
59 Replies
6K Views
Aje anipeleke home,nipo break point town.nimepiga maji hatari!
1 Reactions
41 Replies
3K Views
Kifo cha Sharo kimeniuma, kutoka moyoni angefariki walau Kinana, Abraham kuliko huyu jamaa ambae alikuwa anatusogezea siku kwa cheko na kutusahaulisha matatizo japo kwa muda mfupi. Najua...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
TEACHER:"One day your country will be corruption free" Which tense is it? STUDENT:Future impossible tense.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mtoto alimfuma baba anacheck porno. dogo:Baba hii ni nini? Baba;wa2 wanapigana dogo: ndo maana mama analiaga mkipigana!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mshindi anatajwa baada ya masaa 5 .mkishinda itakuwa Poa .naenda Dukani sasa hivi it's only 2 dollars namba nitaweka hapa nikirudi dukani
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Ninapenda kumshukuru Mungu for a special day like this to me,kwa kuwa na uzima na afya njema.28th November ambapo nimetimiza miaka (kadhaa).na mwaka huu,birthday imenikuta mbali na home so...
10 Reactions
61 Replies
4K Views
Back
Top Bottom