Hello.
Kwa kipindi kirefu nimekuwa msomaji wa comments jamiiforum.
Leo nimeamua kujiunga Rasmi.
Niambie kipi nizingatie.
Kipi unahisi sikijui kuhusiana na Jamiiforum?
Kwa sasa maisha yetu ya kila siku huamuliwa kwa kuwepo kwa mchana na usiku. Jee ulimwengu ungekuwa na usiku tu ama na mchana tu, maisha yetu yangekuwaje??
Darassa, Huyu mwamba
Ushapata picha ya ule mtu ulimwona Nyang'au,
Ndo huyu yuko on top now you wonder how,
Alechelewa kufika wengi walimdharau,
Na kumbe aliyewahi kuna vitu amesahau...
Facebook- Wanawake kwa wanaume
Tweeter-Mtandao wa kiume
Instagram-Mtandao kwa ajili ya wadada
TikTok- Wadada
Kidume akiwa na TL account hashangazi.
Uzi tayari.
Uwe labda umeshawahi sijui Kutongozwa humu au huko barabarani au hata kuwa na Mahusiano na Watu wenye Idadi kama Mabehewa yote ya Treni ya Bara au hata kama una mapungufu yako yoyote au hata kama...
Habari wana ndugu
Leo Nipo morogoro nipeni location za swimming.
Huwa napenda sana kuogelea, nina tabia nikifika mkoa wowote kama nitakuwapo kwa mda, huwa natafuta sehem za kuogelea.
Maana...
Heri ya mwaka mpya wana JF wote. Tumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuuanza mwaka mpya 2023 sifa na utukufu tunamrudishia yeye.
Tukiwa tumeanza siku mpya ya mwaka siku ya kwanza, ni siku ya kupanga...
Mabaharia wengi waliozamia au waliokuwa na harakati za kuzamia meli miaka ya nyuma wanakumbuka changamoto za kupanda meli na kutorokea nje ya nchi.
Wagiriki ndio nchi iliyokuwa na meli nyingi...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
Muda huu niko hapa nakunywa nimechelewa kufika sasa nimepaki gari langu nyuma ya magari ya vyombo vingine vya usafiri.
Kuna jamaa yuko anafoka anataka...
wanyamwanga ni kabila linalo linalopatkana ktk wilaya ya mboz na pia nch jilan zambia.wanakawaida ya kusafiri makundmakund kwenda kutembelea ndg wa mbali na hukaa hata mwez mzm.bac jamaa walienda...
Jana nilikula kavaluu kadogo.
Kama kawa nikashashusia za kienyeji baadae nikasakafia na balimi tatu.
Nimerudi home saa tano nipo matingasi.
Sijasikia malue wala ndoto za ajabu za majinamizi na...
For anyone who cares enough and also those who don’t, i am celebrating her, you can join me...
"Happy birthday to my love, my best friend, my agony aunt, my complaint hotline, my emergency...
Vyanzo vyangu kutoka Kremlin vimenidokeza kuwa Mr Putin kakosa kabisa usingizi baada ya taarifa ya msiba wa kijana wetu Tarimo.
Tofauti na watu wengi wanavyofikiria ,Putin anataka kuwatimua...
Kwa upande wangu kuna huyu jamaa anaitwa Mnyonya Mbususu
Jina lake na comments zake zinaendana sana.
Mwingine DeepPond huyu jamaa nikiona tu comment yake picha za ngono zinaanza sambaa...
Jamani sijui mimi nipoje, sina mpango kabisa wa kupokea simu ikinipongeza eti nimeshinda. Yaani kucheza nicheze mimi alafu watanzania wajulishwe eti nimeshinda.
So, habari ndo hiyo! Kama leo...
Mungu tunusuru wanaume tumebaki wachache sana, foleni kubwa ya wadada wanasubiri na kuweka odder za chips Yai na kuku ghafla unakuta likidume lipo katikati ya wanawake na lenyewe linasubili chipsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.