JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
TUJIKUMBUSHE. ________________ Mwandishi: Tukisema Elimu bure au ukisikia neno Elimu bure wewe unaelewaje.? Mzazi: Naelewa kama ni kitanda ambayo umentandikia na kukaa kuongeaongea kikawaida...
1 Reactions
4 Replies
338 Views
Tafakari ya babu na Swaleh Mdoe "Nikiangalia kopo langu la mkono, lasema ni saa moja na dakika takribani kumi na kenda." Tafakari ya babu... "Mtoto mmoja alianza kujipaka mate kichwani katika...
0 Reactions
0 Replies
271 Views
Naona kulala pekee ni Kama adhabu, wee usiku mzima hakuna hata anayekugusa. Poleni wote mnaolala Kama baiskeli ukipaki imepaki utaikuta vilevile asubuhi.
8 Reactions
27 Replies
1K Views
umekatiza zako kitaa mara pap unamkuta manzi kasizi mahal analia et hana sehem ya kulala 🤭 ukichec ni bonge la pis unaamua kujibless unaenda nae geto then unajiweka kwa sofa yeye kitandan usiku...
0 Reactions
4 Replies
303 Views
TUKIO LA KWELI KATIKA MAISHA HALISI. Siku ya November 24 mwaka 1971, katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mji wa Portland jamaa aliyevaa suti nyeusi na koti refu jeusi kwa juu akiwa amebeba...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Denis Mpagaze _____________________ Kila kona ya Dunia hii Yesu anajulikana. Tena anajulikana kwa wanaomkubali na wasiomkubali. Unajua kwa nini? Ni kwa sababu hakuishi kienyeji. Kuishi kienyeji...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Haya jamani kwa wale wanaojua wapi ilipo free internet wi-fi tupeane connections MI upande wangu kwa hapa dar najua airport udsm ucc centre vipi kwengine wadau Sent from my SM-A037F using...
5 Reactions
4 Replies
578 Views
Katika pita pita zetu maeneo ya koko beach tulikutana na bango la vinywaji ambacho hakikueleweka ni kampuni gani japo wananchi waliokuwa wanapita walionja onjaaa. Nasi tulijongea nasi kujipatia...
2 Reactions
6 Replies
602 Views
Hii fish atakuwa kanywa nani mbona siilewi hii bill?
3 Reactions
35 Replies
966 Views
  • Closed
I often find myself thinking of the many ways on how you bring joy and happiness to me with an encouraging word. You have a smile that’s always bright… I often find myself loving you mahondaw...
11 Reactions
117 Replies
8K Views
Wako wengi sana ikiwemo kina holy holm , Santos06 extrovent, mshana jr, Half american n.k ila hao watatu niliowataja juu mmetisha sana mnenifanyia maajabu sana mideko asante umeniongezea likes...
28 Reactions
87 Replies
3K Views
Kwa kweli msema kweli ni mpenzi wa Mungu . Nikiri wazi kwamba nimekuwa nikishiriki kulifananisha jiji la Mwanza na Jiji la Arusha nikisema kuwa Mwanza na Arusha ni Sawa tu na mara nyingine huwa...
18 Reactions
34 Replies
2K Views
Wanajamiiforums mwanamke akikulamba vibao (kukulapua Makofi mwanaume) ufanyejee?
7 Reactions
54 Replies
2K Views
Nataka kukusaidia si ajabu unalazisha mapenzi pasipo na mapenzi mwisho uje ujinyonge kisa wivu ww hapa chini andika mfano Mpenzi wangu Grory mimi Isiaka nashughulikia bure ila uwe mpole comment...
1 Reactions
9 Replies
572 Views
Wandugu hii thread Ni kwaajili yakupea uzoefu kuhusu kuajiriwa kwa ambao mshawahi kuajiriwa Karibuni Wana Jf
1 Reactions
0 Replies
359 Views
Niulize swali lolote nitakujibu nataka nijipime IQ test yangu kama imepanda kidogo kupitia majibu nitakayotoa. NB: Yasiwe ya hesabu, maswali yawe ya kufikiria zaidi either personal Question au...
2 Reactions
72 Replies
6K Views
Katika maisha yangu siwezi kusahau siku ambayo nilikua jkt 821 kj Bulombora Egle coy mujibu wa sheria nikiwa katika harakati za hapa na pale za usumbufu wangu nakujikuta mjanja. Nilikua mzee...
3 Reactions
44 Replies
4K Views
Habar Wana jf, hivi nan anajua mchezo wa kasino wa aviator maana umenifilisi sana na nashindwa kuacha, msaada jinsi ya kuacha now nimekuw addicted
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Ukute unalewa kwa mawazo yako alafu ndugu jamaa wa karibu wanakushinikiza uache pombe japo wao wenyewe wanakunywa ila wanajidai wanakunywa kwa kiasi ila ukifatilia unakuta wanakunywa tu achana nao...
3 Reactions
1 Replies
255 Views
Mtu akiwa kwenye mipango ya ndoa Au ukiwa kwenye ndoa Ndo sasa unaanza kuona wanawake wazuri Na kupendwa na wale ambao walikukataa kipindi cha nyuma hapo Eee Mungu naomba unisaidie hili ni...
4 Reactions
15 Replies
611 Views
Back
Top Bottom