JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Za mchana wapendwa Nivumilieni sijui kuandika hila tutaelewana kwangu nahishi na dada wa kazi kwasababu na watoto wadada zangu ambao nakaa nao hapa sasa huyu dada sikuiz amekuwa na vituko...
5 Reactions
49 Replies
4K Views
!!!
2 Reactions
11 Replies
595 Views
William-Huitwa Bill. Jina la Bill Gates ni William Henry Gates. Siyo Wile Robert-Huitwa Bob. Robert Mugabe na Robert Nesta Marley huitwa Bob. Siyo Roba Elizabeth-Huitwa Lizzy, Siyo Beti...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Wanaume acheni hela ya matumizi nyumbani mtapigiwa sana. Hapa kuna ke ya mtu nafahamiana nayo inaniambia Mr katoka leo hajaacha kitu kwahiyo ni msababishe apate kula mchana. Au ni mtego huo kwani...
5 Reactions
72 Replies
2K Views
Guys ase kuna mwizi hapa kwangu anazunguka nimejaribu kumfokea amenijia juu eti ananiambia tulia wewe mtoto wakiume uku anajaribu kufungua mlango nifanyeje na simu haina sms wala dakiki in bando...
4 Reactions
24 Replies
895 Views
Ni rafiki uako yupi hujui alieda wapi na huwa unam-miss sana na unatamani itokee siku mkutane tena? Mtaje labda na yeye yupo humu na atakusikia[emoji7] Mimi naanza na Fatma Ahmed Tamim, nilisoma...
1 Reactions
10 Replies
520 Views
Ndugu wana Chit-Chat, Tangu nimeijua dunia sijawahi kuvaa vazi la suti, hua naona watu tu wamevaa. Inasemekana ni vazi rasmi kwa shughuli maalum kama harusi. Mimi zangu ni: chini sandoz, suruali...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Nilipoteza simu na fedha maeneo ya Kimanga, nikaenda polisi kutoa taarifa ya kupotelewa, nikapewa RB na loss report. Wakati nimechukua daladala narudi kimanga pia nafika home najikuta sina ile...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Inakuwaje wanajamvi! She is back. Nimeona amelike comment yangu flani. Kwa muda sana alipotea jamvini tukashikwa na wasiwasi. Welcome back Wangari Maathai. Wengine nao siku hizi wamepotea hearly...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
​Wanajanvi ninaomba mnisaidie katika utafiti wangu huu kujua ni kabila gani la kitanzania lenye wanawake warembo zaidi na ni kigezo gani hasa unachotumia katika utambuzi. Je, sura au umbo...
1 Reactions
70 Replies
88K Views
Jf member nawaaga sasaivi rasimi nitakuwa bize kidogo, na kama mkiona nimepost nipo pale niiteni mbwa huku nakula uyoga. Sitopost ujinga wowote, nimepewa husia sana leo kuwa nirudi kwenye ubora...
4 Reactions
16 Replies
375 Views
Mimi nakunywa pombe Kali kwanza inaweza kuwa k vant, konyogi, value ama Hanson's choice afu nashushia na bia nne naenda zangu kulala
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Nishamaliza hapo unaona hii mvua sasahivi saa nane walio lala miguu minne ndio wanafaidi mmoja ana msogelea mwezie ndoa tamu Achaneni na vijana wa ovyo wasio taka ndoa hao ndio wale wanaotak...
3 Reactions
85 Replies
2K Views
Dah nashobokewa na mdada mmoja kila nikienda kununua chapati anafurah ana kishundu sema embu nipeni ujanja huyu dada kesho nimkule kimasihara af tupie kwa rikiboy kule
3 Reactions
85 Replies
2K Views
Hasa msimu huu wa mvua na kibaridi huwa nahisi waliooa na kuolewa wanafadi Sana hasa nyakati za usiku. Au Ni mawazo yangu? Maoni yenu hasa wenye ndoa zao sio michepuko.
10 Reactions
40 Replies
2K Views
Kama kuna aliye karibu na namnani hotel akaniulizie pale mapokezi kama wameniokotea pete yangu room # 60 nilikuwa na mdada flani bonge mweusi. Nimefika mbali naelekea Iringa msibani tafadhali...
8 Reactions
85 Replies
9K Views
Habari wakuu, Kuna nyuzi za story zimo humu JF zinahusu mambo ya kishirikina,utajiri wa kishirikina, kuua watu, na zingine zote zinazohusu mambo ya hivo, naomba msaada wa kuwa tagged ili nizijud...
2 Reactions
9 Replies
526 Views
Kila mtu ana zamani yake Na miaka ile sie tu wangali wadogo tulipitia maisha fulani ambayo kwa sasa ni nadra sana Wakumbuka zile kauli za mama zetu kama wanafalsafa wa uswazi😂😂 Mfano mama yangu...
11 Reactions
79 Replies
5K Views
Habari wanaJF, natumai tunajiandaa kuumaliza mwaka 2022, na kuupokea mwaka 2023 salama na kwa amani tele. Leo nashea kakisa kadogo kalikonipata wakati mtoto miaka kadhaa nyuma. Miaka 21 imetimia...
6 Reactions
43 Replies
3K Views
Hellow Humu bhna kuna matajiri wengi sana nazidi kupata marafiki wapya sana matajiri hawana mdomo Humu nimekutana na watu wazuri kwa upande wangu mimi nimefaidika sana na watu wa humu japo...
0 Reactions
4 Replies
402 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…