That moment, unakutana na mtu au wapishana naye kwa njia na utoe salamu.
Then salamu yako isipate majibu hivi ni maneno gani huwa yanakutoka kimoyo moyo juu ya kitendo hicho.
Mimi kwa mtu...
Wakati nipo ndani ya basi likichanja mbuga muda huo nikipata mawazo ya wadau mbalimbali ya wana-jf kuhusu kwenda kukutana na mwanamke kwa mara ya kwanza ambaye tulifahamiana kwenye mitandao ya...
Amsterdam!
Everyone is using emojis now.
Mwanzoni tulijua wanawake tu ndio wanatumia emojis[emoji3]
ila sasaivi sijui ni fasheni mimi nimepitwa? Au ni ushamba? Au ndio feminism...
1. Wanaume wavivu zaidi Tz- WAZARAMO..Hawa hawafanyag kazi kbs, wao hushinda vibarazan, kucheza bao, kunywa kahawa na supu ya pweza!
2. Wanaume wabishi zaidi Tz- WAKINGA..Hawa kwa ubishi...
Sifa za unique flower,
Nahofu ya Mungu.
Namiaka 30+years old .
Mkoa niliopo sijui napia kazi yangu ni umbeya.
Napenda kuogelea , navitu ambavyo ni vizuri.
Napenda kusali, kusoma biblia na kuimba...
Morng guys
I have some of question waungwana hivi huwa mnatumia vigezo gani kuthibitisha kuwa fulani ni mchawi au analoga?
Na je uchawi kama kweli upo kwanini watu wanatumia kwa kujificha...
Kupata mtu anayeweza kuvaa viatu vyako hakuna, sasa marafiki wengi wamejaa kuangalia unacho tu sio mengine. Omba sana ufirisike ndio utajua aina ya viatu.
Dunia tunaishi maisha ya kuangalia...
Binafsi nimeoa Drama Queen ambae full sanaa,
Yaani nilinunua kiwanja Mbweni ndio nikaenda masomoni September 2019 Australia. Sasa nataka kutuma hela asimamie ujenzi January hii nataarifiwa...
Wakuu poleni na hongereni kwa heka heka za xmass. Pia heri ya mwaka mpya 2023.
Niko njiani naelekea mwanza kwa mapumziko ya week moja then ntarudi dar es salaam kupambana na maisha.
Kwakweli...
Za jioni natumai wote mmekula na kushiba!
Mwezenu sasa hapa nimepata ka feeling fulani hivi yaani natamani mtoto wa mtu anipende tu yaani anione wivu mda wote yaani mda wote aniembie tu ilove you...
Kwa kweli mimi si mjuzi sana wa mambo ya simu, maana baada ya kuhama kutoka kwenye Siemens C25 nikahamia kwenye Research in Motion, na baada ya pale nikaenda Seoul, sikuwahi kurudi tena.
Sasa...