JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Muulize mshawishi wake mkubwa ni nani? Akikwambia nandy, agnes masugange, Wema sepetu Huyo ni mwanamke anaye penda mambo ya juu! Akisema mama uyo ni wakupeleka home kabisa ukaonane na wazazi wake😂😂😂
0 Reactions
2 Replies
404 Views
Yaani mtu umemtoa Lunch au Dinner muwe mnaangalia kwanza mwenyewe kaagiza nini. Tena jinsia ya KE ndio kabisa huko siwezi kuwazungumiza tujumuishe wote. Yaani nimetoa jamaa tendwe tukapate supu...
37 Reactions
451 Replies
9K Views
Tumalize Utata, soda ipi pendwa na nzuri zaidi kati ya Pepsi na Coca-cola
4 Reactions
54 Replies
3K Views
Ni kweli nachukia sana wanawake wapiga mizinga. Ila sometimes ukiamka vizuri unafanya kweli unayamwagilia maji haya maua ya dunia. Sio kwamba wana njaa au hawana hela ya bundle, NO ni kushea...
9 Reactions
32 Replies
883 Views
Leo nimempeleka dogo shule, ana miaka 7,nilipokuwa kuwa naye shule akanionyesha mwalimu mmoja, eti baba unamuona yule mwalimu pale, nikamwambia ndiyo akasema ni muongo balaa. Nikamuuliza kwanini...
3 Reactions
7 Replies
451 Views
Mtu akisema "bongo nyoso" inamaana bongo noma, au hatari, au ujanja ujanja mwingi. Mtu akisema umetoa boko ni kama umeharibu, hukufanya kama ilivyotarajiwa au ilivyozoeleka, sasa je? Kuna...
1 Reactions
1 Replies
756 Views
Watumishi wanarogwa na kusahau familia zao. Wanabaki kuwaza urabu na mbunye za mabaamedi. Wanashindwa kufanya maendeleo ya taifa lao. Wanapigwa vipapayu. Hapa bila serikali kuingilia kwa...
0 Reactions
15 Replies
595 Views
Emoji zilizotumika zaidi kwa mwaka 2022; Ya kwanza ni [emoji23] Ya pili ni [emoji24] Ya tatu ni [emoji1787] Ya nne ni [emoji3064] Yaa tano ni [emoji3590] Sent from my SM-J700H using...
2 Reactions
31 Replies
978 Views
Huku Mbezi ya Magufuli mvua inanyesha balaa vipi huko kwenu
4 Reactions
58 Replies
3K Views
Habari zenu wana JamiiForums, Mm ni kijana miaka 22 , kuna katabia ninacho nahisi kama ni tabia hasi hivi. Nikiona dumu la asali tu mate yananitoka, hadi inafika wakati nikiona asali home...
1 Reactions
10 Replies
611 Views
Kiukweli Tafadhali sheria naomba itungwe wale watu wote ambao wanatumia simu hizo hapo juu wawe wahujumu uchumi maana tumechoka sana kuziona hizo simu zikiua watu na kulipuka hovyo hovyo. Jana...
2 Reactions
10 Replies
472 Views
Binafsi nimeandaa sherehe isiyo na kifani nyumbani kwangu[emoji122] Kwenye kamati ya msosi na vinywaji... Tayari nimekwisha nunua mbuzi mzima, mchele Kg 40, maharage Kg 15, choroko Kg 7,nimeandaa...
3 Reactions
50 Replies
2K Views
MAISHA NA MAAJABU YAKE ✔Mmliki wa kampuni ya TECNO anatumia Iphone ✔Kiwanda cha kutengeneza mishumaa kinatumia umeme🙉🙉 ✔Meneja wa kiwanda cha bia anakunywa soda🤓🤓 ✔Aliyegundua pesa alikufa na...
10 Reactions
12 Replies
1K Views
Kutokana na mwaka mpya kuanza wewe kama kijana umejipangaje?
0 Reactions
5 Replies
309 Views
Kausingiz kamekata,wewe je?
0 Reactions
25 Replies
823 Views
Habari za kushinda wakulungwa! Hii January ni kiboko. Au mnaionaje nyie wenzangu. Maana sasa hivi ukikatisha mitaani na unajulikana unaweza kuitwa chemba hata mara 5 ndani ya masaa 2 ili upigwe...
4 Reactions
17 Replies
713 Views
Yaani kuna watu wanakera sana yaani kuna watu maisha yao kutwa ni kukopa kopa ndiyo kukopa sikatai kuna vitu kukopa si ishu ila kuna kuna vitu vidogo vidogo navyo mnakopa? Eti pesa ya pombe...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Enyi watu badilikeni basi inakuaje mpaka leo kuna watu wanatumia tecno? Kuna jamaa mmoja nimepishana nae njiani eti linatumia tecno aisee nilishikwa na kichefuchefu nusura nitapike yaani jinsi...
12 Reactions
46 Replies
2K Views
Hiki chuo cha Methodist Kenya kimejiwekea utaratibu wa mavazi kama wa Taliban.
1 Reactions
16 Replies
586 Views
Back
Top Bottom