JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ni nani anamoderate chit chat? Nataka nimjue kabla sijatoa maamuzi magumu coz anavuruga akili za watu kinomoumer. Haiwezekani mtu aanzishe thread halafu uidelete kama unanawa vile tena bila...
3 Reactions
50 Replies
3K Views
1. THE COMPLAINERS- hawa yani Umeme usikatike Kidogo ,. Lazima Watoe Status kuhusu Umeme au Tanesco 2. THE PREACHERS- Hawa wenyewekila Ijumaa ujifanya Wameguswa sana .. Wanatoa Status za...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
BABA ,wewe mtoto niletee soda MTOTO, pepsi au cola BABA, pepsi MTOTO,ya kopo au ya chupa BABA, ya kopo MTOTO, ya baridi ya moto? BABA, hee wewe mtoto mbona maswali mengi haya...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamani natafuta wale wenye sifa zifuatazo ili angalao week end hii nipate wakutoka nao. Kwanza awe ana 'JF Bronze' au 'JF Gold' awe mwenye jinsia tofauti na mimi.Ni urafiki wa kawaida tu na si...
3 Reactions
41 Replies
3K Views
katika basi mama mmoja alitaka kumnyonyesha mtoto.mtoto akakataa,mama akamwambia ''nyonya kama hutaki nampa anko anyonye'' anko ni kaka mmoja abiria aliyeketi na huyo mama. Mtoto akanyonya kidogo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
kwa kweli hii tbc inakoelekea ni kufa kibudu. Kwanza kabisa sijui hao mafundi mitambo wana matatizo gani, kila inapokaribia habari mara sauti hakuna mara picha zinakwama taarifa inakuja kuanza...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mwizi mmoja alienda kuiba kitaa kimoja hivi,akabaatika kuingia kwenye nyumba moja pale kitaani.Alipoingia ndani akafanikiwa kuchukua baadhi ya vitu.Alipo maliza kuiba si akataka asepe,dogo...
0 Reactions
1 Replies
947 Views
Kumbe hata wao wapo ambao ni choka mbaya eeh?!:help:
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Dem aki update status: >Niko town jamani,nani ataninunulia lunch? (3 hours ago) {1 like} {0 comments} aki update: >Lo! jamani nimemiss sex! Kwani hakuna wanaume hapa facebook?" (30 minutes...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
jamaa mmoja alijifanya kipofu ili kuwashawishi waumini wampe misaada.Alikua akitembelea misikiti ya vijiji vya mbali ili kukwepa watu wanaomjua. Bw.Ndutu aliweza kubaini janja ya kipofu.msikiti...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wazaramo ni nima sana wamemkamata mwizi hawajampiga wala kumpeleka polisi WAMEMSEMA MPAKA KAFA......
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hii imetokea juzi ruti ya kutoka Sinza kuelekea Posta mishale ya saa 3 asubuhi. Kulikua na daladala imekula nyomi kama kawaida asubuhi kwenda town watu wanajaa tangu mwanzo wa basi kwa hiyo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
dogo baada ya kupata vijisentina kujiona tajiri aliamua kumwambia baba yake 'nikulipe nini ili tusijuane baba?' baba akamjibu 'nipe mkeo nimnyonye maziwa kama wewe ulivyomnyonya mke wangu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamaa mmoja mwanasheria alikuwa na kimada, siku moja wakati anatoka kazini kampakiza kimada kwenye gari yake wakafanya mapenzi, baada ya mambo yao, Demu akasahau chupi yake kwenye gari, jamaa...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
jamani viatu virefu mukinunua vifanyieni mazoezi nyumbani kwanza. vivae ndani km 3dayz.. ukitoka navo mtoko visikushinde
2 Reactions
6 Replies
2K Views
A man who studies computer science, loved a girl. He sent her a letter saying:I LOVE YOU MORE THAN MY COMPUTER Believe me it is true...You installed the best in me. Your picture is always in...
0 Reactions
1 Replies
618 Views
Sio kama mnavyofikiria..... ni kwamba jamaa aliwagonga na baiskeli kwa bahati mbaya.
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Lawo lari oriyok!
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Naingia usiku huu kutoka mkoa flan, nipo kwa masaa ka 72 hivi... If u have gat bata map nambie nkutafute
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Mtoto mmoja alimwuliza baba yake, Mtoto: Baba ukiona sh 10,000/= na sh 5000/= zimedondoka wewe utaokota sh ngapi? Baba: Nitaokota sh 10,000/= Mtoto: We Baba ***** kweliiii! Badala uokote zote...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom