Kijana Jackson Thobias mwenye umri wa miaka 17 amefariki dunia baada ya kugongwa na treni kwenye maeneo ya kipawa jijini Dar es Salaam. Aligongwa na treni baada ya kutembea juu ya reli huku...
Rejea taarifa yetu ya nyuma kidogo, tukikufahamisha utupatie muda tukae kikao as a family.
Kikao kimemalizika hivi punde, baada ya kua tumepitia mtiririko mzima wa maelezo yako na ya kijana wetu...
Habari wana jamvi,
Kufuatia kupata taarifa za kiintelijensia kwa kamati iliyoundwa na Ndugu Erickb52 kuwa haiko katika kufanikisha harusi hiyo ila tu ni kuitumia kwa faida zao binafsi yeye na...
Toka huyu mzee achukue likizo ya uzazi amempiga marufu Cantalisia kutembea, hata nje tu hatoki anachungulia nje kwa dirishani. Mtambuzi utavunja uchumba wa Rejao hutaki wajukuu zaidi yangu...
Sikia Hii,preta ana mme wake ritz,pia pretta anatoka na rejao,rejao anatembea na smile ambae ni nyumba ndogo ya ritz,naye smile yupo na erickb52 ambaye ni mpenzi wa cantalsia ambaye ana mapedeshee...
Wanajf!
Ni mda sasa WAKUSOMA hajaonekana jamvini!
Mtu huyu alipata umaarufu sana hasa kutokana na kuchangia hoja kwa kukosoa maada zote nzuri,
alipotea ghafla mpaka sasa hajaonekana mimi kama...
wanaJF naumbeni msaada wa mawazo,kisaikolojia na vinginevyo
yaani lately i have not been myself,because i enjoy doing nothing and i see nothing from the bright side,kila kitu naona kinaenda ovyo...
Eti jamaa kaingia bar na mkwara...
JAMAA:Lete bia moja na kila mmoja bia yake, maana nikinywa nataka kila m2 awe anakunywa..
WATU:DUuuh..muhudumu akaleta
JAMAA:Lete mchemsho hapa na kila...
Katika pitapita zangu,jana nlkutana na kipindi ndani ya Clouds TV ambapo Wema alikua ndie msanii aliyepewa nafasi ya kuonekana!
Tofauti na lengo kuu, la kpnd la kuelimisha, nlchokiona ni...
Kuwa huko Tanzania ,kuna waziri mmoja ana sura mbaya, kiasi kwamba siku moja alienda kufungua mradi wa visima vya maji kijijini kwao katika uzinduzi aligoma kuzindua visima hivyo baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.