JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hii imekaaje kulikoni Bakwata kumgeuka Mufti na kumuambia ameifilisi yaani siku zote kuanzia alipoanza hadi kamaliza ndio wanastuka !!! Wamsamehe tu mambo ya wanadamu hata kuwa Mufti mkuu sio...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
wamachame,wakibosho,warombo,wooote mliomo humu ndani nyoosha mkono upate kuhesabiwa kwenye hii sensa ndogo...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
umemkumbuka mzee wako au unaangalia threads humu ndani em nenda kamu "wish" baba yako "happy fathers day" please nakuomba mimi ndo nataka nimu"wish" sasa kwani sikuwepo nyumbani. Make sure that...
0 Reactions
1 Replies
727 Views
Mr&Mrs waligombana Mr kalala kitandani Mrs akalala chini. Mr akawa anaupiga piga uume wake anauambia we hebu tulia hujui tumegombana na tumenuniwa? Mrs akackia akajibu tuliogombana ni sisi siyo...
4 Reactions
60 Replies
15K Views
Sifa za Mume Mtarajiwa: 1. Anapenda Ugomvi. 2. Hana mawasiliano na mke wake mtarajiwa(Simu). 3. Anacheat na wanawake wengine. 4. Hana mipango yoyote ya mbele kuhusu maisha/maendeleo na mke...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hawa Mods wana mengi sana msiwaone hivyo mkawadharau…..Nazungumzia akina Invisible, Paw, Cookie (sio ile ya kupika soma vizuri), Roulette na wengineo. . 1. Kwa mfano wanajua...
6 Reactions
89 Replies
5K Views
Yule mwanamke wa kihindi nilimdatisha sana,alivyonipa mbele tuu,niliisugua kiufundi mpaka akanibusu,nilipomaliza kuisugua mbele nikamwoma alete na nyuma niisugue pia,sasa wakati ananiletea nyuma...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Cm iliita, Mume:hello baby. Mke:hello sweety. Mume:nitachelewa kurud leo. Mke:nishajua uko kwa vijanajike vyako,ww mwme malaya km nn, nacjui ilikuaje nikakutaka nakuchukia km nn ckupend...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani niembeeni safari njema niko kwenye basi hapa jirani yangu anakula mahindi ya kuchoma mayai na anakunywa maziwa ya mtindi haya bila shaka. Sijui hata itakuwaje hapo badae maana safari...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Nikamshika mapigo yake ya moyo yakaanza kwenda mbio... itaendelea.
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Erickb52 kajipa adhabu, Bishanga katoa jicho. TaiJike inuka bwana.......
6 Reactions
57 Replies
3K Views
hivi mwizi akamwoa mchawi alafu wakazaa mtoto ambaye ni kahaba nani atabaki usiku nyumbani?
1 Reactions
8 Replies
894 Views
ABUNUASI NA KISA CHA PUNDA..jirani yake abunuasi alikua anataka punda kwa ajil ya kusafirisha mizigo yake,akamwendeaabunuasi akamwabia jiran naomba niazimishe punda wako,abunuas akamjibu mimi sina...
3 Reactions
9 Replies
15K Views
Nimekuwa nikipitia avatar za wana jf leo siyo siri nyingine zimejaa vituko, nyingine zinachekesha, nyingine mHHH... Wanaoongoza kwa kuweka avatar kali ni... 1. PROF KASAMBANDA...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna uhusiano gani kati ya kutoa choo kidogo na kumalizia kutema mate, na ilihali tunajua mara nyingi choo kidogo hakina harufu?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
"Dawa ya mba, mende, kunguni, vipele, mapunye, dawa ya mba, fangasi, vipele, mapunye" natumai wengi mshalisikia hili tangazo. Sasa juzi kati nimekutana na h ii mpya. Dawa ya kuongeza hamu ya kuoga...
4 Reactions
36 Replies
3K Views
Wikiend ndo hiyo jf inanipa raha! Hebu kumbuka yale mambo wazazi/wazee wako walikwambia lakini yalikuwa either funny, strange or unbelievable! Mf 1. Wajomba zangu watatu walisoma shule darasa...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
long call kukata gogo kwenda msalani kujisaidia kudownload kupunguza mzigo kwenda uwanja wa nyumbani SO much more...........
0 Reactions
15 Replies
1K Views
waziri wa Fedha karuhusu CUSTOMIZED /PERSONIZED PLATE NUMBER a.k.a plate namba ya utakavyo Naamini karibuni tutayaona magari yenye plate namba za RUTASHOBYA 01, RUTATORA 01,RUGAMALILA 01...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
nani atakuwa kwa mama kemcho au kwa bishanga bashaija aka waungwana paleee sinza.
0 Reactions
2 Replies
875 Views
Back
Top Bottom