JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Tafadhali wasiliana na mimi kama wewe kujisikia sawa. samuelokolloh@yahoo.com
0 Reactions
1 Replies
894 Views
Basi hawa washikaji waliochaguliwa kwenda in service training pale ITA, bata tupu. Breakfast, lunch, dinner buffet for two months training. room za kulala, tv etc alafu wanakuja kula rushwa
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Atakayepinga hili akapimwe akili. Fuatilieni tangu kuumbwa kwa ulimwengu kaskazini ndiyo iliyoinuliwa.wakati ibrahim akiachana na ndugu yake alimwambia achague kaskazini au kusini angalia ibrahim...
4 Reactions
80 Replies
7K Views
Dad : Give me your phone for a second Son : wait dad, let me switch it on {... Delete video Delete picture Delete music Delete private Delete number Delete Delete Delete Delete X_X Delete Delete...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Sharobaro kakutana na bonge la kimwana muda huu. Akaanza swaga zake. Sharobaro: Wosap girl? Kimwana: Hi! Sharobaro: Yeah, yeaah wotsa ya name? Kimwana: I'm Angel...and you? Sharobaro: Yeah, Yeaah...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
jamaa mmoja aliiba tv akaibeba kisha akaanza kukimbia nayo kumbe kwenye ile nyumba aliongia kulikuwa na mgonjwa wa akili akaanza kumkimbiza yule mwizi kila mwizi akiongeza mbio mwenzie huyu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
: HEBU SOMA HIKI KIMEMO CHA BABA ALIVYOWEKA SHERIA MPYA KWAKE BAADA YA HALI YA MAISHA KUWA NGUMU:- HOME INTERNAL MEMO FROM: FATHER TO: ALL DEPENDANTS AND RELATIVES CC: MOTHER DATE: TODAY...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani kuna taarifa zimezagaa mitaani kuwa mh. Tundu Lissu ameitwa na familia ya aliyekuwa rais wa Misri kuwa wakili wa rais huyo wa zamani wa Mumbaraka, naombeni mwenye uhakika atuwekee hapa nasi...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Rest in peace guest house - kahama Tulale lodge - Mwanza Sleep in hotel - Mwanza hebu ongeza unayoyajua!
0 Reactions
35 Replies
13K Views
Ni kweli hili? Hivi umewahi kwenda kwenye ofisi ya mtu au ofisi ya kampuni fulani na baada ya kufika pale ukajikuta unagandishwa pasipo ulazima wowote ule? Aidha jamaa atachelewa kutoka ili...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Methali- mfa maji Mhindi- tampa life jacket Methali- mwenda pole Mhindi- tachelewa fika Methali- uclolijua Mhindi- uliza google.com Methali- mbio za utelezini Mhindi- chafua guo yako...
3 Reactions
30 Replies
5K Views
wachawi wawili wanaodai ni waumini wanaosali RC wakamatwa mwanza! cheki video! sijui ni ukweli au usanii tu jamaa wamepaa kutoka kigoma hadi mwanza! alafu shori mjamzito...!
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Mi ndo nasubiria menyu la kazini leo j3 ugali na maharage, nyama,mboga za majani na matunda kwa pembeni, nikiongezea hapo na kyoda changu cha sprite basi nafeel muruaaaaa. Ebu tupe mida unatupia...
1 Reactions
35 Replies
2K Views
Wana jf wenzangu hivi ni kweli 21.12.2012 dunia itateketea?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Bwana mmoja alinunu mbwa jike, kwa kuwa hakupenda mbwa huyo azae mara kwa mara akawa anampaka dawa ya kuzuia mimba ktk uke, siku moja mtoto wake wa kiume akamuona baba yake akimpaka mbwa dawa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ebwana mzunguko wa maisha umenilazimu kutia nanga huku singida for a while...ila majina ya sehemu za huku mmnhh 1.KINYETO 2.KIPUMBWIKO 3.MAKHOJOA 4.ISHPUNGA 5.SENGE 6.UNYANKINDI...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kama mjuavyo humu jamvini kuna watu tunawajua kuwa ni couple.Wengi wao ni kapo za kimtandaotandao.Ila mjue kuna wengine huanzia flirting,then PM,then skype kama ipo,then namba za simu zikianza na...
9 Reactions
197 Replies
9K Views
Inanisikitisha kuona wana jf tunavyoogopana hivi nikwa nini??kwanini wengi wetu hatupendi kukutana??tatizo nini??kwakuwa tumekuwa wasanii kwa sana au zaidi ya hapo??
0 Reactions
68 Replies
5K Views
1. Kwa wale wanaoandika txt, 'Nakumiss' halafu kuituma kwa wapenzi 20..........MUNGU ANAWAONA 2. LUKU imekata kwenu umekaa nje unatext watu,'Niko nje napata upepo mwanana'.......MUNGU ANAWAONA...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Nakumbuka enzi hizo,kwenye familia ikipikwa NYAMA,lazima waanze wakubwa ndipo watoto mnafuata,umewahi kuona hii.......m
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom