JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
CHUO HIKI KINATOA KOZI KM: 1 ubahili miezi3. 2 ulevi miezi 6. 3 uchakarikaji miezi 9. 4 kuendesha baiskeli mwezi 1. 5 kusogeza mipaka kwa majirani miezi 12. 6 kuchoma na kula nyama miezi...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Mzee mmoja toka bush ambaye hajui vizuri kiswahili aliingia hotelini ili ale kuku ila alisahau anaitwaje. Kuangalia meza ya pili akaona kijana mmoja kaletewa mayai ya kuchemsha kwenye sahani. Basi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
unakaa kwenye bus na mtu mnene kama tufe, mpaka tunachoreana mstari,mambo gani haya! Mifuta na minyamanyama yote hiyo ya nini? Unene sio sifa, eboo
2 Reactions
106 Replies
7K Views
Binafsi nimezaliwa tarehe 25 novemba...na ninashare birthday na aliyekua mtoto wa Rais wa Marekani J.F Kennedy Jr. Vipi ninyi wenzangu siku zenu za kuzaliwa mnashare na watu gani maarufu wanaweza...
1 Reactions
59 Replies
3K Views
#angalizo: Bob marley day isiwe kigezo cha kupuliza bange ovyo..
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Jamani member wa JF,hv unapochangia uzi huu unakuwa ktk mkao na mahala gani? Me binafsi nipo ndani ya Bajaj naelekea Leaders kucheki Msondo ngoma na Twanga. Nimekunja 4 wewe je? Mwaga data zako hapa.
0 Reactions
59 Replies
4K Views
eeeeeehuuuuuu pheeeeeewwwww yaani wana jf wooooooote naona wakubwa walitutandika li blanket ban.Kweli nimeamini ban inauma aisee,one week no see jf,chaaaaaa muda mrefu aisee. Embu tujuzane ndugu...
1 Reactions
51 Replies
3K Views
Drinkers, rejoice: There’s now a way to get a buzz on in just a few seconds — and without the harmful effects (or delicious taste) of alcohol. It’s a mouth spray called “WAHH Quantum Sensations,”...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
MAASAI kaenda church na Kondoo wake. PASTA; ero siuingie kanisani mbona unakaa NJE? MAASAI;-):unathani mi MJINGA?ehe.. si naskia SIMBA wa YUDA yuko ndani:.
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Mambo ya uswazi 1 Vyoo vya uswahilini. Chukua fursa ujionee vyoo vya uswahilini..utakapofika bafu lazima ukute utelezi usipokua makini lazma utaurwada.juu ya ukuta utaona maneno tofauti...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
mtoto wa kike alipewa kiazi na mama yake wakati mama analekebisha msosi jikoni na baba alikuwa anasoma gazeti la Ngono sebuleni huku kavaa taolo peke yake mtoto--------- sitaki...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Three men were talking about their teenage daughters: The first says "I was cleaning my daughter's room the other day and found a packet of cigarettes. I didn't even know she smoked". The...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Siku mbili mfululizo naperuzi kupata jamii forum bila mafanikio nikaugua! Nilidhani ndo hivo tena tumehujumiwa na ma mafia wasiopenda maendeleo ya nchi hii,karibu tena kiongozi! Hapa nikiamka...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
NI KITU GANI KILICHOKUFURAHISHA/KUKUCHEKESHA WIKI HII? Tupia hapa na wote tufurahi pamoja!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
jaman nimeugua ghafla coz kila nijaribiapo kuingia jf naambiwa oooh maimtainance basi nikawa sina raha nawamic wote hadi nimepungua. .nawapenda jaman n nimerudi sasa bby nasty
0 Reactions
74 Replies
4K Views
Nipo jela,ghafla Askari Jela anakuja na kunieleza Kadoda11 kuanzia sasa upo Huru.Nashangaa kwa kuwa niliambiwa kifungo changu kitakoma tarehe 20/5/2012...Hata hivyo nimefurahi sana kurejea...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamaa alinunua friji jipya, akawaza namna ya kuondokana na lile la zamani basi hatimae akaliweka nje ya nyumba yake na kuandika kibao ANAE TAKA KUCHUKUA ACHUKUE BURE. Watu wakawa wanapita...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani nilikuwa kanisani,kuliko pastor mgeni aliyekuja hapo kanisani,akafundisha somo la "utoaji",somo ilipoisha akasema akasema sema watu wamtolee Mungu vitu ambavyo wanajisikia kutoa,watu wengi...
0 Reactions
30 Replies
2K Views
hey what do u understand when u say love?
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Back
Top Bottom