JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
HOW TO SPEAK ABOUT Women AND BE POLITICALLY CORRECT: 1. She is not a BABE or a CHICK - She is a BREASTED HUMAN. 2. She is not a SCREAMER or MOANER - She is VOCALLY APPRECIATIVE. 3...
0 Reactions
0 Replies
756 Views
Dem flani alipigiwa simu na namba geni mambo yakawa hivi NAMBA NGENI:"Haloo! Mrembo una boyfriend?" GIRL:"Yap ninae kwani we ni nani?" NAMBA NGENI:"Mi ni baba yako kumbe una boyfriend eeehh...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Hivi huwa ni mboga au kitoweo? Maana kuna watu hawawezi kula chakula bila pilipili! Nawasilisha.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Jamaa kaamka asubuhi sana Jumamosi, mvua inanyesha kang'ang'ania kuwa anaenda ofisini. Kawasha gari yake , lakini kufika njiani hali ilikuwa mbaya kaamua kurudi mwenyewe. Kafika home kavua nguo...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Ni habari gani iliyokugusa sana wiki hii....... Iweke hapa nasi tujue.
0 Reactions
0 Replies
800 Views
Yule kada wa CCM kupitia Radio ya watu kaishiwanguvu baada ya kusoma list ya Ma DC na kukuta lake halipo!! Matokeo yake jana kwa hasira aliamua kuwachana wana CCM wenzake wakati wa mazungumzo na...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Baba: unamjua Nyerere? Mtoto: hapana. Baba: pumbafuu.. Zingatia masomo yako! Mtoto: unamjua Hamis? Baba: hapana. Mtoto: pumbafuu... Zingatia ndoa yako! Nawasilisha.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hiki ndio kifaa changu, last model. Simu yako je?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba u like my bongobest page kwnye www.bongobest.com
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanamsafirisha mtuwao aliokua anajifanya kafa kisa hamna nauli ya kuwatosha wote kwenye gari ya kukodi. Dar- Moshi. Walipofika mwanga, jamaa mmoja kasema oya ukishuka pale stand niletee maji...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimegundua watu wengine wanamiandiko kama ya kuku humu jf.
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Mzazi: mwanangu walimu wako wameniletea barua kuwa wameshindwa kukufundisha, hufundishiki Mtoto: Baba hata we mwenyewe si unasikia siku hizi walimu hawafundishi? Tatizo si mimi ni walimu hawafai
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kijana wa kiume miaka kama 19 hivi karudi nyumbani akiwa kachoka na macho ni mekundu. Ile anaingia tu sebuleni kamkuta baba yake anawatch TV na baba yake akamuuliza na mazungumzo yakawa hivi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu? Niko njian toka Dar kuelekea Arusha. Naomba mnielekeze viwanja vya kujipumzisha. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Wana wa bodi habari zenyu. Katika safari ya Safina ya Mtume Nuhu, palifikia wakati Nuhu akawa hajui lini safari itafikia ukomo. Aidha wanyama waliokua ndani ya safina waliendelea kujamiana kama...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Wanajf ebu wekeni muda mnaospend jf alafu tujiulize huo muda ungespend kwenye productive issues ungeearn kiasi gani.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
hbr za mwisho wa juma wanajf, hv ni tabia gani iliyowahi/inayokukera ambayo ulitake time kuiacha/ unashindwa kuiacha. mf. me nilikuwa nakerwa na tabia ya kutafuna kucha, ilifka wakat mpak vidole...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Aunty: How many of u prayed this morning? Romade: aunty I prayed Aunty: alright romade, what did u pray for? romade: i prayed that my uncle's car would break down when we go out together...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jamani sio mbaya ukituarifu utakuwa kiwanja gani weekend hii na kama ikiwezekana utakua na nani pande hizo.!! kama upo lonely ndo usisite kabixa kuomba kampan... ka kawa weekend yangu ndo naianzia...
0 Reactions
54 Replies
3K Views
Sawa, inaweza ikawa ni tetesi, lakini kwanini isishughulikiwe kitetesi-tetesi? Nimeikuta Fesibuku hii habari, nikaona sio mbaya nichungulie huku, through Google nimeiona, ila kwa ndani wameitoa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom