Jaman hii ni Ligi ngumu sana,haisomeki wala haieleweki,na haijulikan nani atashinda,,,,,
Kuna baadhi ya wadau husema kabisa kuwa Ligi hii haina formula,kuna wakat mchezaj anafanya mazoez akiingia...
Kutokana na tangazo la utawala la shule zote kufungwa kuanzia 12 -15 May kutokana na uhaba wa chakula baada ya wanafunzi kuongezeka kwa kasi kutokana na multiple ID's na kuenea kwa mtandao huu...
Jamaa alikuwa kitandani na mke wa mtu, mwenyewe akarudi na kugonga mlango. Mke akamwambia jamaa pitia dirishani kimbia,jamaa akaanza kubisha eti nje kuna mvua, mwanamke akamwambia jamaa ana hasira...
Ndg zangu.
Nawapenda wote ila nasikitika kuwaambia kuwa 2taonana tar 15 . Ingawa baba kasema 2kacheze kwa majirani ila kweli kule ha2japazoea kama hapa home! Kwaherini.
I LOVE MY JOB . .. . . .
If you don't laugh out loud after you read this you are in a coma!
This is even funnier when you realize it's real!
Next time you have a bad day at work think of this...
Kuna habari kwamba ile dawa ya kufanya wazinzi au cheaters wagandane sasa imeingia bongo, na tayari watu wameanza kuichangamkia kwa kasi ya ajabu. Lengo ni kumkomesha mwenzi asiyemwaminifu ktka...
Baada ya kumpora mtangazaji maarufu wa E tv ya africa kusini Janet Mbugua nayo BBC chali baada ya senior producer na presenter wa Focus on Africa bi Uduak Amimo kuhamia citizen tv. Uduak...
Three engineering students were gathered together discussing the possible designers of the human body.
One said, "It was a mechanical engineer. Just look at all the joints."
Another said, "No...
Baada ya kuwafagilia na kumponda klorokwini last time, hii ni zamu ya wadada.
Ni m(wa)dada)/m(wa)mama gani hapa JF kutokana na namna wanavyochangia mambo, interect na watu wengine, mbwembwe zao...
Nazitamani chapati. . .chapati za kusukumwa wala so za mayai. . .
Za kupika mwenyewe. . .wala so za jirani hata kama zimepikiwa chai. .
Bwana akishaenda shamba. . nami nifunge kibwebwe. ...
[BOSS TO SECRETARY]
Jiandae kesho tuna safari ya kikazi.
[SECRETARY TO HUSBAND]
Mume wangu kesho nitasafiri na boss kikazi
[HUSBAND TO GIRLFRIEND]
kesho wife wangu anasafiri,kuwa huru...
Uso una misuli midogomidogo mingapi?
TIP: Yule babu wa Airtel anayemfanyia mjukuu wake "mbhmbhmbhmbhmbh..." kwenye mtandao wa 3.75G ana jibu sahihi.
Remember, NO CHEATING!
Babu wa kihuni alienda kituo cha afya kupima malaria na kichocho,nesi alimchoma sindano kidoleni kutoa damu ya kupima,damu haikutoka babu kamwambia nesi huwa nanyonywa ndo damu inatoka,unesi ni...
Dear Father,
$chool i$ really great. I am making lot$ of friend$ and $tudying very hard. With all my $tuff, I $imply Can't think of anything I need, $o if you would like, you can ju$t $end me a...
Kuna wachungaji watatu..siku moja waliamua..kwenda mapumzikoni..
wakiwa mapumzikoni...wakamua kwenda fishing..wakiwa huko..Mchungaji mmoja..akawambia wenzake.."jamani pamoja na kupreach...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.