Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana wakati napata kinywaji lazima kila mtu apate kinywaji. Haraka sana muhudumu akagawa vinywaji,
Jamaa...
Jamaa anapiga simu ofisi ya Makumbusho ya Taifa: "Haloo, hapo ni Makumbusho ya Taifa?" OFISI: "Ndio, tukusaidie nini?" JAMAA: "Ok, naomba mnikumbushe mwaka juzi saa yangu niliipoteza wapi?"...
John Kitime | Facebook
Kazi zingetajwa kwa majina haya wengine tungezifanya tu hebu fikiria;
1. Shamba Boy - Landscape Executive and Animal Nutritionist
2. Haus gelo - Domestic Operations...
kiongozi wa nchi moja, alitembelea uingereza. katika maongezi na malkia alimuuliza siri ya mafanikio ya nchi yake. Naye malkia akamwambia kuwa hupima busara za wasaidizi wake, kabla ya kuwateua au...
Nimethibitisha kabila la kimasai linaongoza kwa kuchapia lugha ya kiswahiri na mifano ya maneno wanayochapia nakupa kama unabisha nipe mifano ya maneno ya kiswahiri yanayochapiwa na kabila...
Jamani kuna mtoto amepinda mpaka basi! amenichekesha, amemdai dingi yake amnunulie vitu kibao. Ngoja na nyie niwachekeshe kabla JF haija collapse usiku huu.
Huyo mtoto yuko sekondari, akampigia...
haya kumekucha na makucha yake kama kawaida mi lazima nikujulie hali wewe mwana jf, jaman ila nataka nijue leo umevaaje? Umetokelezeaje judgement swir,mbuty,kongosho, firstlady1, b52, young...
Or is it just a fallacy that everyone hates Monday mornings?
Yes it's back to work and school but is it really any different to any other weekday morning? Discuss please...
Nimewahi kuishi mikoa mingi hapa Tz toka nikiwa mdogo Arusha/Dar es salaam etc lakini kwa uchunguzi nimegundua wahindi wao wanaishi mijini tu, mfano kwa wakazi wa hapa Dar es salaam nadhani...
Katika pita pita zangu nilikuta na viatu vizuri sana ambavyo sijwahi kuviona tokea nizaliwe. Nikaamua kuvinunua kwa ajili yenu ili niwape kama zawadi maana kuna watu wengine humu ndani kama TANMO...
Usishtuke hii mada hapa ndo mahala . Tuongelee story na history za somo la hesabu.
Hili somo liikuwa moja ya changamoto kubwawangu ( Naamin wapo na wenzangu wengi tu) .Iwe nishule za msingi...
heheheheheheee............mtaani kwako kuna vituko gani hebu tu-share kidogo
huku kwetu kitaaani kuna vituko saaaana,
kuna mlevi mmoja wa banana beer huwa akipita kila siku utasikia tu akitukana...
...well, najua alituaga hapa kuwa anaingia underground kwa sababu ya mambo yake fulani lakini kama kuna mdau ana taarifa zake aniambie tafadhali!
Natanguliza shukrani.
Ebwana jana nilisikia jingle flan hv kuhusu promo ya fiesta ndani yake nikasikia maneno ya rose mwalusamba akitamka im very glad im very sorry,kama kuna mtu wa klauz naomba mtujuze conexn ya rose...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.