hizi sehemu mbili nazikubali sana kwa mishemishe za raia wake!ningependa kujua kati ya kino na sinza wapi kwa wajanja?na sababu za kuikubali sehemu husika!
A man goes to the famous Lucas Carton restaurant in Paris with his girlfriend and orders the 1928 Mouton. The waiter returns with a bottle full of wine, pours a small amount in the glass for...
huwa najiuliza sasa kanumba anacheka nn, au kuna nn cha kumcheksha namna ile katika lile tangazo la startime?
kiujumla tangazo linaboa,..nimeshazoea liktokea tu, nahama channel, au nafuata maji ya...
Nimeona nilete hii hoja huku kwenye wengi badala ya kuipost kwenye jukwaa la dini ili meseji ifike kwa wahusika kirahisi. Ni hivi, mbona mada za dini kule kwenye jukwaa husika hazina wachangaiaji...
Habari za leo kwenye jamvi
Nashindwa kuelewa wimbo wetu wa taifa huanza kwa MUNGU IBARIKI AFRIKA THEN MWISHO NDO HUJA KUITAJA TANZANIA, ninachojaribu kujiuliza hivi nchi nyingine za kiafrica...
Guy 1: "Owky, I'm gonna tell u a
story with 4 PARTS. Ok remember
that, 4 PARTS... !!!"
Guy 2: "Owky..."
...
Guy 1: "I'm gonna start with part
1...
There was a husband and a wife,
they were driving...
....kidogo inanipa shida, cjui kama huko nyuma (zamani) pia ilikua namna hii...
wakaka wanakimbizana na wadada....pakitoka aina fulani ya blauzi, basi ujue mbioni kutakua na mashati ya aina iyo...
Mtaa # 1 huko s'wanga:Jamaa akiwa na baiskeli yake akakutana na babu mmoja akienda kwa mguu.Yule babu akamuomba lift,jamaa akatosa kwa visingizio baiskeli yake ni mbovu.Babu akasema haina...
Mamboz zenu waungwana,natumai hamjambo na mnajiandaa na mishemishe za mitoko ya Ijumaa.
Binafsi huwa najiuliza: Hivi ni kwanini mtu mpaka anakufa au anakuwa mkubwa wa miaka 69 lakini bado hajawahi...
Nauliza Swali langu jamani nawaombeni munijibu waheshimiwa wangu. Kwa Mfano yai ni moja yakiwa mengi utayaita mayai. je Simba ni mmoja wakiwa wengi utawaitaje? nawaombeni munijibu swali langu hilo...
As you lie back, your muscles tighten.You put him off for a while searching for an excuse,but he refuses to be swayed as he approches you.
He asks you if you are afraid and you shake yor head...
Kwa kuanza napenda kuchukua fursa hii kumshukuru sana mwenyezi Mungu kwa kuniruhusu niendelee kula licha ya uovu mwingi ninaotenda kila siku hapa duniani. Pia kwa wale ambao ndugu, marafiki na...
Hizi ni sifa za mgombe uongozi wa ccm ktk ngazi yoyote
JAZIA AU KANUSHA ISIYOFAA
1.lazima uwe mtoto wa kigogo serikalini
2.uwe na charecter za wizi
3.uwe schooless/Hujaelimika
4.uwe mgonjwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.