JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
HONGERA wASIRA.......YUPO.......YUPO..........YUPO................YUPO......................YUPO......................YUPO Steven wasira 80 YRS OF AGE...........................YUPO Pia soma...
2 Reactions
8 Replies
686 Views
1. Kuwadanganya watu wa mwanza kuwa dagaa zao ni tamu kushinda dagaa Mchele wa pwani na dar na WA majichumvi huu unafiki nmeuvumilia mda MREFU sana kiukweli dagaa watamu ni wa 1. DAR, 2.MWANZA...
18 Reactions
96 Replies
1K Views
Heshima sana wana jamvi. Napenda kuwajuza kwamba Ngongo sasa ni Platinum Member. Mnapojadiliana na Prof Ngongo heshima iwepo. Ngongo kwasasa Kizimkazi
21 Reactions
53 Replies
980 Views
Habari zenu wakuu Wengi wetu kama sio wote tunawasiliana kwa njia ya simu mara kwa mara, lakini wakati mwingine unakuta kuna ile huna story ya kupiga na aliekupigia/uliempigia, kwangu mimi vitu...
12 Reactions
89 Replies
1K Views
Bandugu! Kesho Hapa Dar es Salaam jambo kubwa ni mchezo wa Yanga dhidi ya MC Alger katika kufunzu kwenda robo fainali ya klabu bingwa Afrika. Naamini timu yangu ya Yanga itapiga tu na kufuzu...
0 Reactions
0 Replies
152 Views
Habari zenu wakuu. Nipo maeneo ya Muheza town. Kama kuna mdau anayajua maeneo haya, anielekeze chocho moja matata ya kula raha. Si mbaya kama nikipata toto moja ya kitanga ikanikata huu msongo.
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Nilijitahidi sana na kufanikiwa kununua iPhone 7 Plus nikiwa mwaka wa kwanza chuoni mwaka 2019, kipindi hicho simu hiyo bado ilikuwa maarufu sana. Nilikuwa naipenda sana kwa sababu ilikuwa inapiga...
0 Reactions
5 Replies
477 Views
Tunsume - tumuombe Mungu Tumpale - tumsifu Mungu Wenye.majina zaidi watiririke hapa Naruhusu corrections Edited*
1 Reactions
165 Replies
39K Views
Kufuatia ongezeko la abiria toka mkoa wa Kagera kwenda nchi nyingi za Ulaya. Shirika la Ndege la Air France linatarajia kuanza safari zake kutokea kiwanja cha ndge cha BUKOBA (BKZ) - Paris Charles...
10 Reactions
42 Replies
2K Views
Ilikuwa hivi, familia wapo sitting room wakiangalia DVD ya movie siku ya weekend sasa kuna sehemu flani ikafikia wahusika wakaanza kukiss huku wamelegeza macho huku akiendelea kumvua blausi...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Hii series nasema ndiyo best kabisa imeigiza maisha watu wanavyokimbizana na hatima zao Kwa tamaa ya pesa Ila kinachoniumiza kichwa hii series Kila mtu ALIESHIRIKI amechezewa mchezo 😁hata...
2 Reactions
13 Replies
585 Views
Sometimes unapokuwa na hela hutamani kua sehemu ambayo sawa kuna wadada ila ukiwaangalia tu anakuja mezani kwako ama sehemu ulipo anaanza kukuambia twende tukapumzike ama naomba ninunulie bia...
9 Reactions
153 Replies
3K Views
Mulokozi (Mhaya) kamaliza degree ya sheria UD, sasa karudi Bukoba akaanzisha kijiofisi chake. Shughuli ikaanza hivi, kakaa kwa muda mrefu bila ya kupata customer kama zali vile, siku moja kijana...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
They see you wet from the bathroom, they ask were you taking a bath The answer : No I was sleeping. They see you sleep yet they ask, are you sleep The answer : No I'm in a coma. Your...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamaa mmoja alikuwa na demu wake wa muda mrefu sasa akaamua amvalishe pete ya uchumba. Jamaa kaingia dukani akaona pete nzuri sana ya gold ile kuiona tu mshtuko ukampata akajamba, kisha akamuuliza...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kulikuwa na Mfalme mmoja mpenda haki aliyetawala miongo ya nyuma. Sasa wakati anaingia katika ufalme akasikia katika wale anaowaongoza yaani watu wake kuwa kuna maadui wawili wakubwa ambao...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Mama mmoja mcha Mungu alikuwa na jirani yake mwenye roho mbaya kupita kiasi, siku moja akafungulia mabata yake ili yakajitafutie chakula. Bahati mbaya yakaenda kwa jirani yake, jirani kuyaona...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mama mmoja mcha Mungu alikuwa na jirani yake mwenye roho mbaya kupita kiasi, siku moja akafungulia mabata yake ili yakajitafutie chakula. Bahati mbaya yakaenda kwa jirani yake, jirani kuyaona...
1 Reactions
1 Replies
997 Views
Eti anasema "hio ilikuwa miaka ya 80 nini ??🤣🤣🤣🤣🤣" Millenials mmeanza kuwa makumbusho ya taifa sasa
0 Reactions
17 Replies
318 Views
Mimi Ni mmoja wa wanachama wa CHADEMA ambao kutwa Ni kulia Lia mitandaoni tu. Mara Katiba mpya, tume huru, kukosoa mawaziri bhaasi tumemaliza ila kwenye CHADEMA hatuna demokrasia (kikomo cha...
2 Reactions
26 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…