JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari zenyu wapendwa, Nina kiushauri kidogo kwenu wanaume au wababa. Ukiwa au ambao mko na familia zenu tayari, yaani una mtoto au watoto usiwe baba ambaye ukifika tu nyumbani kila mtu anaingia...
17 Reactions
88 Replies
6K Views
Ifikapo wikiendi wanaume wengi utawakuta maeneo ya kunywa pombe na kutazama michezo hasa mpira, wamejazana kwa wingi wakitumia kwa urefu wa kamba zao. Katika jamii ya sasa ukiwa haufanyi mambo...
22 Reactions
168 Replies
3K Views
Habari zenyu! Niende straight kwenye mada kuna baadhi ya watu sijui wana matatizo gani yaani unakuta watu wamepishana kidogo wanaanza kusemeana maneno machafu kuhusu wazazi smdh! Haijawahi...
7 Reactions
24 Replies
2K Views
Habari, natamani kupata marafiki wa kubadilishana nao mawazo kuhusu mambo mbalimbali ya maisha . Umri wowote na jinsia yoyote Kama uko interested karibu.
7 Reactions
11 Replies
226 Views
Kuna Mtu nimemtuma kuja Dar es Salaam kunifungia Mzigo wa Calculators ili nizilete hapa Kampala Uganda niziuze kwani zina Soko naambiwa kwa Wiki hii nzima hazipatikani Madukani kote kwa Kununuliwa...
6 Reactions
16 Replies
472 Views
1. Wapare 2. Wakinga 3. Waha 4. Wagogo 5. Wachagga 6. Wakurya 7. Wajita 8. Endeleeni na orodha kama Taifa tukubaliane kuwa Wapare, Wakinga na Waha hawana mpinzani Naomba kuwasilisha Pang Fung Mi
13 Reactions
100 Replies
2K Views
Pacome ZOUZOUA aomba kuondoka Yanga! Kiungo mshambuliiaji wa Young Africans raia wa Ivory Coast ameuomba uongozi wa Young Africans jana jioni kuondoka kwenda Gym kufanya mazoezi ya viungo ili...
12 Reactions
17 Replies
860 Views
Wadau hamjamboni nyote? Watani mnahusika Lete utani wenye kuudhi na kukera nami nitakujibu Naanza mimi ninyi Waha kwenye treni ya sgr haiwafai endeleeni kutumia ya mkoloni
3 Reactions
31 Replies
722 Views
Hivi kwanini kila soksi ninazonunua zinaisha hivi hata miezi 3 haifiki? 😡😡😡 Ni mimi tu au nitafute soksi za chuma??? Kwa sababu nimechoka!
5 Reactions
104 Replies
1K Views
Tuadhie vitoto vya 2000 huyu jamaa alikuwa anaitwa nani na mambo yake yalikuwaje😂😂😂😂
9 Reactions
86 Replies
2K Views
1. Wahaya. Wapo vizur kichwani yaan shule inapanda. Wana mvuto, Papuch zao laini Hawanyimi ukienda vizuri Wanaweza kutoa papch kwa miadi ya pesa. Are mostly black beaty na maumbo mazuri Selfish...
17 Reactions
214 Replies
66K Views
Habari....👋 Nilikua sijawahi kuifuatilia hii series, nilipoicheki tu looh nimenogewa. Imebidi niwe naangalia episode moja moja ili nisiwahi kuimaliza na nishakusanya Season 1-7 so sina wasiwasi...
20 Reactions
116 Replies
10K Views
Ikiwa Leo ni Kumbukizi ya Kuzaliwa kwangu, Umri ukiwa umesogea sana nimeona niwaachie ujumbe kidogo Maisha yanapokupa baraka nyingi usikimbilie kusema wenzako ni Wavivu, watu wapo kimya hawasemi...
2 Reactions
6 Replies
194 Views
Na kalaga baho Wazee toka nije paje nimevutiwa sana na maisha ya ubichi boi, imenipa ari na nguvu ya kuongeza siksi paki na kushinda na vibukta bichi. Hapa nina mpango nifuge na rasta kabisa...
16 Reactions
84 Replies
2K Views
Binafsi mimi Mshana Jr. Maandiko yake ya kiuchunguzi ya ulimwengu mwingine. Kongole kwa Mshana Jr. Wewe nani anakuvutia hapa JF?
8 Reactions
40 Replies
1K Views
2 Reactions
2 Replies
109 Views
Wadau Hiki kilikuwa ni moja ya vipindi maarufu vya RTD hsawa kwa watoto hasa kwa watoto wa primary enzi hizo. Watanzagaji wake nadhani alikuwa ni Debora Mwenda. Kuna zile hadithi zilikuwa...
3 Reactions
23 Replies
10K Views
Aisee nimejikuta nampenda huyu member KENZY Mfuatilieni .jamaa ana kitu apewe ulinzi Mimi nimemjua Jana tu Kama hajaoa naombeni mniweke pale ndugu zanguni. Napenda kufurahi Mimi Kenzy nitakucheki...
15 Reactions
202 Replies
4K Views
Back
Top Bottom