Kwa mfano ndo umwambie hivyo Paw baada ya kukupa onyo. unafikiri ni nini kitatokea? au unafikiri ni vipi utakuwa umehatarisha id yako?. kwa hiyo tuseme mimi wana niogopa au hapa ndo nmejileta...
Masawe alitaka amgonge MANKA kimoja cha fasta ofisini kisha ampe elfu 10, MANKA akagoma
MASAWE; Nitafanya fasta darling, nitaweka hela sakafuni wewe ukiinama tu kuokota mi ntakuwa nimemaliza...
Mwenzenu nilikuwa silali wa sitambai kwani yale mafuriko yalikuwa si mchezo ilikuwa ni balaa tupu maana sijawahi kuona
kaitika macho yangu ndugu zetu kufa kiasi kile na serikali inatudanganya kuwa...
Computer Gender
A Spanish teacher was explaining to her class that in Spanish, unlike
English, nouns are designated as either masculine or feminine.
''House'' for instance, is feminine: ''la...
said nally ndo aliyedondosha punje ya mchele duniani. hii imetufanya sisi watu wa pemba tupende sana ubwabwa kuliko vyakula vyote. hata kama una shughuli au duwa haitafanyika kama hujanipa...
Jamani wana JF najihisi nagundu,maana kwenye acount yangu sina rafiki hata mmoja,ukizingatia sijui hata nawapataje,halafu mbona hamnijibu hoja zangu au ni za kimbwiga???Na nikianzisha topic hata...
Hasa hasa nimeuona Zanzibar, naskia ni ugonjwa upo sana maeneo ya pwani pwani. Ile hali ya kujambishwa, yaani mtu anapita na kupuliza mdomo na kutoa sauti ya ushuzi basi jamaa wa pembeni yake...
(Changudoa);Goli moja kitandani sh.10000,goli moja kwenye sofa sh.5000 na goli moja kwenye nyasi sh.2000.(Mteja akatoa sh.10000). (Changudoa);Kweli wewe pedeshee,nilijua tu utataka kitandani...
habari zenu wana jf.
embu tungeshare kidogo iki ki2 muhimu hapa, eti ni kitu gani unakipenda ktk mwili wako.
ili hata kama nakuimagine lol iko ki2 kiwe hapo.
mrudishie mungu fadhila zake kwa...
Wana jf habari,hakika namzimikia sana mwimbaji wa nyimbo za gospel,ni mwembamba,maji yakunde,mtaalam wa kuzirudi ngoma,hakika ananikosha sana nakunifanya kila mara niwe naangalia kwaya yao,ni wa...
Jamani mimi mwenzenu nimepatwa na maswahibu muda si mrefu, kama mnavyojua hizi nyumba za kupanga lazima bafu la kuogea ni la kuchangia. Sasa nimeamka zangu naenda kuoga bahati mbaya au nzuri sijui...
Mlokole: "Nyimbo gani
mnapiga?!? Wekeni
nyimbo za yesu.."
Konda: "Vunga wewe, Yesu
bado hajatoa album..."
********************************
Abiria: "Kuna Kiti au
unasema panda tu!?"...
Hebu cheka
kidogo,,usinune usiku huu. Mke wa Kelvin anajivunia
mume mtulivu, hashindi baa
na hatongozi
videmu. Akitoka kazini
huenda kucheza basketball
na hurudi nyakati za dinner. Siku moja...
Jamani kwa wale ambao hampandi daladala,hivi ndo vioja tunavyovipata
Mlokole: "Nyimbo gani
mnapiga?!? Wekeni
nyimbo za yesu.."
Konda: "Vunga wewe, Yesu
bado hajatoa album..."...
Habari za jumapili Wakuu?
Nakumbuka ingekuwa nimalize masomo yangu ya shahada ya kwanza (B.com) pale chuo kikuu cha Darisalama mnamo miaka ya late 90's hivi, yaani almost 15 years back, lakini...
Ni siku ambayo nilitolewa Balu kwenye Jukwaa la Wakubwa, nilijifanya kuleta changamoto, lakini wanaume wakawa moto, nikawashiwa moto, na hapo ndipo moto uliponiwakia.
Maana palikuwa hapatoshi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.