JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Facebook is the second most popular word that starts with "F" and ends with "K". Can anyone tell me the first word?
0 Reactions
3 Replies
916 Views
Hi members, kila boss ana boss wake.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Jamaa mmoja alimpa mimba sekretari wake,na baada ya kufikiria sana hakatamani kumwambia mke wake na mazungumzo yalikuwa hivi; Mume: Mke wangu leo nimepata tatizo kubwa ofisini. Mke: Usiseme...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Madaktari bingwa kutoka nchi tatu yaani Tanzania,Germany na China walikutana kuelezea mafanikio ya nchi yao. Akaanza mchina kwa kusema kwetu alizaliwa mtoto hana mikono tukamuwekea ya bandia na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Interviewer: Why did you leave your last job? Jamaa: The Company shifted their office... and didn't tell me where.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
This is so Good!!! WACHAGAAAAAAAAAA............... Two chaggas were standing at the golden gates of heaven awaiting Simon-Peter, the angel to clear them in order for them to get into the Kingdom...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Naamini kwamba ID na avatar ya mtu inaelezea kitu fulani kwa mhusika in term of personality. Jaribu kuelezea personalities from avatar and ID. Eg, from avatar Dark City, akiona hayamhusu...
0 Reactions
168 Replies
8K Views
habari zenu wakuu.naomba nitumie nafasi hii kuomba mwana mmu makini niweze kumtuma kwa obsesd. nahitaji mtu mwenyewe awe great thinker na mwenye uzoefu na mapenzi ambaye anajua mitego mbalimbali...
0 Reactions
52 Replies
4K Views
Leo ndo cku nilipatikana kwa uchungu jamani, niwish happy birthday na mama angu mu mpe hongera jaman, nsimsahau baba but najua hakuingia hata wodini. . .a special appreciation to all women kazi...
0 Reactions
70 Replies
3K Views
kama JK anahudhuria huko kwenye mazishi ya Mh Mtema, na pia nina uhakika Rais wa mioyo yetu atakuwepo? Je picha litachezwa vp maana hamna uwezekano wa maziko kufanywa mara mbili...Je watapishana...
0 Reactions
3 Replies
930 Views
Jamaa kaingia msikitini na panga na kuuliza nani mwislam hapa.watu kimya, nani mwislamu hapa?? halafu akamchukua moja nje na kumwomba amchinjie mbuzi. halafu akarudi msikitini na panga yenye...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
nipo 'kazini' karibuni lol yaani siamini mtu kaacha hela yake hapo mbele za hivyo vinyago lol kweli akili ni nywele kila mtu ana zake.
0 Reactions
19 Replies
1K Views
unamkumbuka huyu?
0 Reactions
1 Replies
813 Views
Nilikuwa napitia Katuni za Nasani Mpangala nikakutana na kitu hiki kilichonifanya nifikirie mambo mengi sana kuhusu mustakabali wa nchi hii. Amechora kwa kifupi na kaweka maneno machache sana...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Nikisomaga hii huwa nakumbuka Kosa moja na mimi nilishawahi kulifanya.....sintasahau..
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Enjoy!
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Mlevi kaingia choo cha kike, mwanamke akamwambia "this toilet is for ladies only" mlevi akamtolea UUME wake na kumwambia "and this is 4 ladies too"
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Hii kitu nimeitoa gazeti la leo la citizen na nimeipenda..isome mwenyewe Facebook sparks a fire in my affair Tuesday, 17 January 2012 09:59 By Joseph Mtebe, Success Correspondent When I...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
jamani, toka mwaka uanze nilikuwa sijapita huku.... na leo nachukua fursa hii kwa mambo mawili 1. Heri ya mwaka mpya wana JF woooooooote 2. naungana nanyi nyoote kwa msiba wa dada yetu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nilibahatika kuishi mkoani Kagera miaka ya themanini,kwa wahaya kuna ndoa zile za lazima yaani kijana anamwinda dada mahali halafu anamkamata akiwa na vijana wenzie, kisha anampeleka kwake,yule...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom