JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
wakuu kuna vitu vinaripuka kama mabomu tena. sasa hivi. kuna nini? Mia
0 Reactions
34 Replies
2K Views
He! Kumbe leo sijawasalimia, Asalam aleykum, How are u, Wasinukaa, Ulaileyani, Jore, Hujambo, Mzima, Shikamo, Ikiana, Cheichei, Ulimhola, Ongamshi, Mwadela, Bonjour, τ&#953...
2 Reactions
45 Replies
3K Views
http://41.59.13.185:88/broadwave.asx?src=1&rate=0 tumia link hii (hapo juu) kusikiliza maubiri ya mwalimu Christopher Mwakasege live, kila siku kuanzia saa 4:30 jioni hadi saa moja usiku...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana JF Naomba mnieleze maana ya hiki kitendawili "TEGA NIKUTEGUE" Na kuna vingine vingi unaweza ukaongezea na unipe maana yake.
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Kwa kweli dada alikuwa anachangamsha sana hili jukwaa. Anajua kufrustrate, kutibua akili za watu. Yaani ni pasua kichwa. Tangu alipoondoka jukwaa hili limepoa na huenda likafa kama kilivyokufa...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Nilituma hii post katika mtandao fulani wa kijamii. "I'm gonna sleep on the veranda tonight." 157,021 Mosquitoes 'Liked' it.
2 Reactions
47 Replies
4K Views
Mambo vipi Wanajamii Forum???Naomba musome hapa kwa makini kisha tujadili katika hili.Juzi nilikuwa nasoma ripoti ya UNDP ya mwaka 2011 kuhusu hali ya maendeleo katika nchi 187 wanachama wa...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Pedeshe mmoja alienda na mkewe muziki, akapita binti mzuri akamsalimia, mkewe akamuuliza ,’Yule nani?’ Akajibu ‘Huyo nyumba ndogo yangu’. Mke akaja juu,’Nataka talaka yangu’. Pedeshe akajibu...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
......kama tukitenda dhambi tungekuwa tunapata adhabu hapo hapo, kwa mfano ile unamaliza kuwaza uovu wako tu, unastukia unanyukwa makofi, makonzi na mitama mfululizo huku akupigae humuoni...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
naomba uchangie mawazo yako kuhusu deadline...afu uniambie kibongo bongo imekaaje?na je ina athari kwa maendeleo ya jamii?kiaje?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Najua umenisahau. Naitwa Andekelile Lupakisyo Ambindwile Mwambalakata mtoto wa Afwelile Ambwene Mwakisujeje Mwakasokela anko yake na Asangalwisye Mwalunyasyo rafiki wa Bakangana Bukenja Bukomile...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
..mm naitwa kidole kati...huwa sieleweki...watu wananishangaa,...bla bla bla blaa...ckumbuki hata... LOL
0 Reactions
5 Replies
1K Views
kulitoke tangazo moja Ukiwa na watoto kumi utapata zawadi ya nyumba na gari MKE: sasa mumewangu sisi tuna watoto nane itakuwaje MUME: mkewangu nisamehe nna watoto wawili nje ya ndoa ngoja...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
gonga LIKE:kama kila unapomaliza kusoma post au comment yenye mashiko unaangalia huyo member kajiunga lini JF...!!
2 Reactions
43 Replies
3K Views
Jamaa mmoja alipandishwa cheo...baada tu ya kupandishwa cheo akampa taarifa mke wake,na kwa kuwa mke wake alikuwa na wivu na mume wake akaanza chokochoko; Mume: Mke wangu nimepandishwa cheo,hivyo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mmasai akapewa kipaza sauti kwenye msiba wa marehemu rafiki yake akaambiwa aseme machache!! Alichosema, "Msiba oyeee, jenesa safi, maiti safi!! Amependesa ajapendesa?! Mwenye wifu akufe kama ii...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hi!
Mapenzi yanautesa moyo wangu. Niliwahi kupenda msichana bali alinitenda kwa kutembea na kk yangu wa damu moja. Nikaachana nae nikapata mwengine nae akatembea na rafiki yangu kipenzi. Jamani nina...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Hivi hawa watu wapo bongo? Kama wapo wanapatikanaje?
2 Reactions
47 Replies
4K Views
Mtoto kaona nyeti ya baba yake, Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Inasikitisha sana. Uwalimu sasa si kazi mzuri kutokana na jinsi serikali yetu ilivyo wapuuzia. Kwamacho yangu nimemshuhudia mwalimu wangu wa primary amekuwa ombaomba yeye na watoto wake. Tena...
0 Reactions
1 Replies
874 Views
Back
Top Bottom