JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
WANDUGU, jana nimesikia kuna kamati maalumu itakayoongoza sala na dua maalumu ya kuliombea taifa. dua na sala zitafanyika uwanja wa taifa. jamani yaleyale mambo ya imani, dini hizi. taifa hili ni...
0 Reactions
0 Replies
926 Views
Mambo ingine bana... Kim K. gets 600K to party PSP - MSN Popular Searches Entertainment
0 Reactions
0 Replies
882 Views
Watoto wengi wanapokuwa shule za msingi huwa hawapendi kwenda shule. Mara nyingi hii inachangiwa na tatizo la kuamka asubuhi wakati bado ana usingizi au kubanwa kwa muda mrefu wakati anataka...
0 Reactions
79 Replies
4K Views
Japan ilitengeneza mashine ya kukamatia wezi na kuipitisha ktk nchi tofauti kwa ajili ya kui test. Japan baada ya dkk 9 ilikamata wezi 4,711 china baada ya dkk 15 ilikamata wezi 11, 507 Nigeria...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Most 'First Class' students get technical seats, some become Doctors and some Engineers. * The 'Second Class' pass, and then pass MBA, become Administrators and control the 'First Class'...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mtoto alimwuliza baba yake: Mtoto: Baba, mama ana nini pale miguu inapoanzia? Baba: Mama yako, ana MLANGO WA PEPONI Mtoto: Na wewe, umeficha nini hapo miguu inapoanzia? Baba: Mimi nina UFUNGUO wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna siku itafika kifo kikikuona kitakuwa kinatoka nduki.Hapo hakuna kufa,hata ukijining'iniza kwenye mti na kamba haufi ila cha moto utakiona.Unagongwa na gari haufi.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Siku moja katika familia fulani, baba na mama waliamua kuwauliza watoto wao, je kati yao nani muoga, na mazungumzo yao yalikuwa hivi: baba: eti wanangu kati ya mimi na mama yenu ni nani muoga...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwalimu: Maandazi sita ukitoa mawili hubaki mangapi? Mwanafunzi: Ukinipa na mchuzi hakibaki kitu.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ilikuwa ni siku ambayo boss anasafiri kwa ndege asubuhi anajiandaa kuondoka ndipo alipewa taarifa na mlinzi wake kuwa usiku ameota ndege atakaepanda boss imeanguka na hakuna aliyepona ndipo boss...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Huyu mtaalamu wa picha yupo wapi? Maana maafa mengi sana mwezi huu.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
nnawasihi wanajamii wenzangu kwa mwaka ujao wa 2012 ya kua msisahau kuwafadhili wageni kwani kun watu waliwafadhili malaika pasipo kujua.
1 Reactions
3 Replies
904 Views
Eti maana ya Moshi ni: M-MUNGU O-ONYESHA S-SEHEMU H-HELA I-ILIPO
2 Reactions
12 Replies
3K Views
...amesoma sana,ana PHD yule! Yaani P.H.D=Passed with High Difficulty!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamaa mmoja mpenda kusoma novel alikuwa kitandani usiku na mkewe akipitia moja ya novel, nadhani ilikuwa Famous noise ile. ghafla jamaa akaingiza kidole chake kwenye nyeti za mkewe ndipo mkewe...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakubwa naomba mnisaidie kujibu swali hili baada ya mifano michache ifuatayo anakupenda unampenda kwa hiyo mnapendana unamheshimu anakuheshimu kwa hiyo mnaheshimiana anakutii unamtii kwa hiyo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Duuuhh...!! Dunia hiii... jana Sinza, movie ya bure, ngumi mkononi, jamaa kafumwa akitafuna mke wa mtu, eti watu nao wakamfukuza mwizi wa mke wa mtu na kumpa kipondooo, jamaa nyanga nyanga, katoka...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Inaonekana kuwa sumu aliyopewa balali na mfanyabiashara mwenye asili ya Asia, inawezekana kuwa ni ileile aliyowekewa Mwakyembe, kama ni hivyo basi bado ipo kwenye ghala. Nani atafuata? tutegemee...
0 Reactions
0 Replies
980 Views
Namini asilimia kubwa ya waJF ni wapiganaji walioko mwituni katika nchi yetu hii iliyojaa machungu na mateso kila siku. Kama ingetokea ukapewa nafasi ya kugombea au ya kuwa raisi ungekuja na sera...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
...unaweza kuwa uliishaisikia lakini si vibaya kukumbushia. Muuzaji: Samahani kaka hairuhusiwi kuvuta sigara hapa dukani. Mteja: Nikavutie wapi?...mbona sigara nimenunua hapahapa? Muuzaji...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom