Nimeamua kurudi kijijini kwa muda kwa ajili ya kushiriki msimu wa kilimo. Sina hakika huko kama mitandao ya simu inapatikana. Ikiwa inapatikana basi tutaendelea kuwa pamoja. Nawashauri wote ambao...
Ilikuwa ni chemsha bongo. Kwamba umepewa vitu vitatu ambavyo ni simba, nyasi au majani na mbuzi .sasa uvivushe mto kimoja baada ya kingine usivushe zaidi ya kimoja na uhakikishe vinafika salama...
Mme na mke wake walikuwa wanashindana kuweka password mpya kwenye computer yao
mme akawa amekomalia kuwa password iitwe 'uume'
mara mke akawa ameanguka chini kwa kicheko,kumbe screen ya computer...
=a baby
2=anthr chance
3=love
4=a kiss
5=frndship
6=to cuddle
7=a relatnship
8=an apology
9=a good chat
10=my pic
11=2 go on a date wth me
12:sleep @ur place
13=2 shag the lyf...
Mtoto alikuwa akimwambia mama yake kuwa kila siku amekuwa akimwambia kuwa house girl wao ni malaika anabisha. Mama akamuuliza kwa nini?
Mtoto akamjibu, kila siku namkuta akipiga kelele akitaka...
majamaa wawili walikua wamevuta bhang na ikawakolea kwelikweli. Wakaambizana tutaendaje nyumbani wakat hatuoni vizur magar? Mwenzake akamwambia wew gar la kwanza kupita tu tunadandia sawa...
Leo najiskia mkarimu sana alafu niko kwenye position ya kutoa LIKE.
Yani najisikia kuzigawa kama njugu, kwahiyo kama unataka like we andika point tu nakuja huko ulipo:eyebrows:.
Unasubiria nini...
take your time and enjoy life
kabla majukumu hayajawafunika
enjoy to the fullest
kama ni wa mziki dance mifupa yako ikiwa na nguvu
fanya adventure zote kwa usalama lakini
nimekaa hapa...
wakuu afrika kusini sio sehemu salama tena...nafikiri sasa tuwaachie nchi yao wema wetu tuliowatendea baba na babu zao miaka ya nyuma unatosha.....tuwaachie nchi yao......
Hiyo wanawatumia watu...
Kuna mtu kanikera kweli leo,.Kuna jamaa yake wa karibu kanipigia simu eti anafanya kazi airport na amepokea mzigo wangu kutoka kwa huyo mtu ambaye kwa sasa yuko nairobi na mzigo umetokea...
Hey Jf members kwa wale WACHAGGA saa hv wanajiandaa na kujikataa katika area zao mbuzi wakutosha KISUSIO kwa wamachame! Nakwa wale WASUKUMA sa hv ndo makg ya mchele ndo wanunua! Je wapendanao vp...
Mtoto:Baba nimempenda Lucy mtoto wa jirani yetu awe mpenzi wangu
Baba:Heri hata hujamtongoza,huyo ni dada yako
Mtoto:Baba nimekutana na msichana mwingine
Baba:Nani huyo?
Mtoto:Joyce mtoto wa...
kizazi cha supra ni noma! Hebu msikie huyu wakuja alisikia kwenye redio mjini vijana wanakula bata ile mbaya yeye akaamua kuchukua wakwake kutoka kijijini na kuja nae mjini kwaajili ya kula bata.
Ghafla alichomoza sekretari na kuwatangazia wageni waliopo kwenye benchi wakisubiri kumuona bosi kuwa 'mwenye haja kubwa tu ndo aingie kumuona bosi' kweli kiswahili kipana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.