Jamaa alikuwa na girlfriends watatu,akaanza kuwaza amwoe yupi kati ya hao.
akawapa kila mmoja milion 5 ili aone kila mtu ataitumiaje.
Girlfriend wa kwanza akaenda supermarket akanunua...
Kuanzia sasa nitakuwa nawawekea clips za kuvunja mbavu. Hizi ukiangalia ni hakika utacheka hadi unenepe na kusahau kero za siku.
Naanza na hii: Iangalie, haitakaa sana hewani nitakuwa naweka moja...
Ee KIKWETE Uliye tufilisi,Jina lako USANII MTUPU,utakalo lifanyike BAGAMOYO TU,utupe leo mabilioni yetu ya EPA,uwapeleke MAFISADI wote Mahakamani ,uwape WASTAAFU pesa zao ,uwasamehe wafungwa...
Swali la kwanza(marks 40)
Jinsi ya kumwingiza simba ndani ya friji.
Fungua friji halafu msukume ndani na ufunge mlango wa friji.
Jinsi ya kumwingiza twiga ndani ya friji.
Fungua friji na umtoe...
Tunajisifu kuwa lugha yetu inakua sana duniani. Na wakati mwingine tunajisifu zaidi tunapoona mataifa makubwa kama CHINA na USA yanapo jikita zaidi kukijua KISWAHILI.
Lakini kwa mtazamo wangu...
Habari zenu wana JF,
Hongereni kuumaliza mwaka (bado wiki 2), ni jambo la kumshukuru Mungu na kusherekea kidogo. Mimi kwa upande wangu baada ya kufanya hivyo naanza kukuna kichwa kwasababu ya...
There are basically 7 TYPES OF GIRLS
1. HARD DISK Girls:Remember everything forever.
2. RAM Girls:Forgets about you the moment you turn her off.
3. SCREENSAVER Girls:just for looking.
4...
pamoja na kutapeliwa hela zangu humu, kuna mdada nimebahatika kuongea nae humu kanikubali na nitamuoa tu huu mwaka hauishi mtajiju wenye wivu jinyongeni
mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
kwel mimi nakithamini sana kiswahili ila misemo yake inanchosha sana tena si kidogo! Utakuta msemo huu unasema
¤haraka haraka haina baraka, mwingine
¤polepole ndio mwendo, mwingine
¤ngojangoja...
wakuu tupo moshi na tumeingia kijijini kwetu juzi,kwangu mimi ni muda mrefu kidogo sjafika huku kwa sababu ya shughuli za kazi, nimeshangaa sana kuona jinsi wakenya walivyojaa huku kijijini kwetu...
Wakuu, wale viumbe wanaojiuza sasa hivi wanafanya kazi usiku na mchana. wenyewe wamepanga vyumba kabisa. na wamejiwekea sheria ya kutokugombania wateja, wewe ukifika pale unakuta wamekaa mlangoni...
Habari za weekend wanajamii.
Naombeni msaada wenu katika hili;
Natafuta hotel ya kupumzika na mpenzi wangu weekend.
Napendelea maeneo ya Beach especially in DSM. Our budget is 150$ per night...
Ni vigezo gani wanatumia. Ktk peruz peruz yangu kuna wale nawaona mara kwa mara ila bado sijaona michango yao ya maana. Kuna membaz wana michango ya msingi sana sioni hata mmoja kutajwa. Wale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.