JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Masingle tusiwe wapweke Sana,njoon tufarijiane
3 Reactions
140 Replies
5K Views
Kuna mahusiano yapo kwenye methali isemayo "mvumilivu hula mbivu" but another time inageuka "ngojangoja huumiza matumbo" "Waliochagua Nazi wakaishia koroma" wamebaki kupata na "usiache mbachao...
4 Reactions
115 Replies
4K Views
UTANI WA WATANI [emoji16][emoji23][emoji23] Nasikia kwa Tanzania Wakinga ndo wanaongoza kuwa na majina ya kizungu kama vile: Foton Kyando Garage Tweve Heaven Msigwa Japanese Chando Bed-ford...
21 Reactions
140 Replies
31K Views
Majibu yenu ni Muhimu sana hasa kwa muda huu ambapo Maandalizi ya Derby za Kibaioloji yakiwa yanafanyika Maghettoni na Lodge au hata Kwingineko.
5 Reactions
41 Replies
3K Views
Story ipo hapa https://www.tupohapa.com/markodrupia
2 Reactions
5 Replies
590 Views
Heshima kwenu wakuu. Natumai ndani ya JF tuna watu smart & peace kabisa, sasa ningependa tutambuane please. Kama wewe ni muhuni mwenzetu hebu dondosha signature hapa chini mkuu. Nawasilisha.
4 Reactions
54 Replies
3K Views
Habari wadau. Jana nilivuka Salama mlima wami. Japo niliuma jino Kwa kukanyaga wese bila kutikisika tingo alinisemesha kitu sikumjibu mpaka nilipofika pale jeshini Getini. Nikajipongeza mpaka...
5 Reactions
11 Replies
704 Views
Habari wazee wa Jf. Ndio mara yangu ya kwanza kupeleka mzigo Dar. Nipo karibu na mteremko wa daraja wami natetemeka wazee nikifikiria kupanda ule mlima dua zenu jamani.
10 Reactions
32 Replies
3K Views
Wakuu nipo kwenye bus naelekea Morogoro na nimefika maili moja kwasasa, bus nililopanda ni 2 by 2 na pembeni yangu kuna msichana ananitia mashaka mno namuhisia ni mtu wa tofauti nikimaanisha sio...
9 Reactions
60 Replies
4K Views
Mkeo akiliwa kwa situation zifuatazo lazma umsamehe 1. Azini ili apate chakula Cha watoto,wew ukiwa umefulia 2.Kugongwa mbele yako wakat mmevamiwa na majambazi 3.Akizini kwa lengo la kuokoa...
6 Reactions
54 Replies
3K Views
Habari za asubuhi. Tangu uanze ujana umekula au umekulwa na wangapi? Naanza mwenyewe nimekula wasiozidi 6 mpaka sasa wewe je? Kuwa mkweli hakuna anaekujua.
2 Reactions
30 Replies
2K Views
Tayari tupo msibani huku kwenye jumba la kifalme kama picha niliyopost inavyoonyesha. Muda mchache uliopita alifika mzee wa ukoo na tayari kikao cha wanandugu kinaendelea. Ila jana tayari...
10 Reactions
19 Replies
1K Views
aje mdada mmoja
2 Reactions
6 Replies
570 Views
Kwa miaka 70 sasa lugha ya kiingereza imekuwa ikiitwa kimalkia na waswahili wengi. Je bado kiingereza kitaitwa kimalkia au ki-charles, au ki-mwinyi?
0 Reactions
1 Replies
306 Views
Mapenzi bna! Unaishi na mtu, usiku anaamka kufanya maombi apate mke/ mume. Kumbe yupo single. Ila wewe unadhani ni mwenzio!
1 Reactions
7 Replies
810 Views
Yaani mtu unapita unakuta wanakaa kimya, ilhali walikuwa wanaongea, wanakuangalia tu kama mademu vile. Mnakera sana.
8 Reactions
37 Replies
1K Views
Habari wana JF kuna simulizi nyingi za maisha ya kweli ya wana JF humu ni ipi bora kwako? Yangu ni ya khumbu wa South Afrika, mke wangu Hamida, yule jamaa wa sitatosahu ya RFA Shaka Zullu aisee...
1 Reactions
0 Replies
466 Views
Jumapili iliyopita nilihudhuria kwenye msiba wa ndugu wa rafiki yangu, Miongoni mwa waombolezaji alikua dada mmoja mwenye miaka kama 26-30, alikuwa na mwanae wa kama miaka minne hivi Sijui...
36 Reactions
318 Replies
18K Views
Next nina meeting na mchumba nataka nikutane naye Buguruni ingawa sivijui vizuri viwanja vya pale Nipeni location Pub gani nzuri au mahalo pazuri nitulie na mtoto JoJo kuwe lodge muhimu Sana...
1 Reactions
59 Replies
5K Views
Habari za saa hizi. Je, ni mambo gani unatamani ungeyajua kabla hujafikisha miaka 23, Share hapa na wengine wajifunze.
0 Reactions
4 Replies
345 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…