JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Sijui 2nakwenda wap' but i bilieve n' da change of society,through revolution.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Everyone needs the occasional unscheduled day of leisure. Here is how to get yours without raising suspicions at work. Complain about fake symptoms. A day before your day-off, make hints about...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Closed
Habarini, Nimeona avatar ya mdau mmoja anaitwa Avoyne, nimeshindwa kipaste hapa. Anayeweza kuipaste anisaidie. Kweli inanikwaza sana, kama nilivyosema dini ndio suluhisho la mwisho la binadamu...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
JAMAA WATATU WAMETINGA LUPANGO NCHINI CAMEROON KWA AJILI YA SHUGHULi YA BWANA D. CAMEROON. Three men in Cameroon have been sentenced to five years in prison for homosexual acts, which are...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana JF, leo ningependa kukumbushana maisha tuliyopitia katika kipindi ukiwa bachelor.... yaani zile experience za ubachelor unazozikumbuka ambazo ukiwa kwenye Ndoa hutarajii sana kukutana...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
my take kupungua ni kazi thats why kuna variety of products relating to slimming...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
There are several men in the locker room of a private club after exercising. Suddenly a cell phone that was on one of the benches rings. A man picks it up and the following conversation ensues...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Shukrani za dhati kwa wote walionipa pole hapa,waliotuma sms/e-mail,waliopiga simu(dena e.t.c) na waliokuja msibani (Faizafoxy e.t.c) nawashukuru sana kwa faraja zenu na nimeamini JF ni zaidi ya...
10 Reactions
41 Replies
3K Views
Katika kuonyesha kweli mke wa mtu mtamu jana nimesoma gazeti moja la michezo mchezaji wa timu ya taifa ya tanzania ambao tff wanagarimu kumlipia tiketi athuman machupa anatembea na mke wa shamte...
0 Reactions
31 Replies
9K Views
Nawatakieni wiki njema, wiki ya mahela, wiki ya mapato, mishahara, marupurupu na matumizi bab kubwa. Onyo;- mapenzi nje ya ndoa ni chanzo cha umasikini.
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Karibu Chako ni chako Karibu Mnadani Karibu sana Mpwa:biggrin:
5 Reactions
162 Replies
9K Views
"I was BORN in the 80's. We are the last generation who played in the street, we are the 1st who've played video games, and were the last to record songs off the radio on cassettes and we...
0 Reactions
2 Replies
932 Views
Mambo zenu wakubwa?swalama nadhani wote wazima?mimi ni new member sina hata mwezi nilikuwa nataka marafiki wakike na wakiume wa kuchat hapa JF,FB,Twitter,sehemu zote hzo unaweza kunitafuta kwa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
wapendwa habari zenu!kichwa cha habari hapo juu chahusika, kesho 26/11/2011 saa 12 jion viwanja vya ustawi wa jamii dsm patakua na uzinduzi wa anti virus !! nimejitolea kuwalipia kiingilio wana jf...
0 Reactions
53 Replies
4K Views
TO you Smile Call People by Name. The sweetest music to anyone's ears is the sound of own name. Be Alert to give Service..... What we do for others counts most in life... If you see...
1 Reactions
52 Replies
3K Views
Kwaupande wangu mambo yanayonichefua roho ni haya yafuatayo. 1. Movie zote zenye maudhui ya mizimu(uchawi) 2. Kusikia majina ya viongozi wasio na tija katika TANZANIA yetu. 3...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Kuna post katika jukwaa hili inayoulizia juu ya chimbuko la majina ya siku, nami leo nimeona nieleze japo kwa ufupi kuhusu baadhi ya miezi. 1. Kuhusu mwezi wa kwanza kuwa na jina linalofahamika...
0 Reactions
2 Replies
815 Views
Najisikia mpweke sina marafiki hapa Jamii Forums.:grouphug: Wa face book wameniharibia maisha siwataki tena.
11 Reactions
139 Replies
10K Views
Basi,usiogope,mimi nipo pamoja nawe.Usifadhaike,mimi ni Mungu wako.Nitakuimarisha na kukusaidia,nitakulinda kwa mkono wangu wa ushindi.Mwisho. Hata wale ambao tutafuta kazi tusomeni mstari huu.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwako Bibiye FaizaFoxy Siku za karibuni nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana siasa za CCM kwenye Field na hapa Jamvini. CCM ina makamanda wa Field wakiongozwa na Nape na siku hizi Lusinde...
4 Reactions
190 Replies
13K Views
Back
Top Bottom